Recent content by muncaster said

  1. muncaster said

    Ikulu, Dar es Salaam: Rais Magufuli awatunuku Kamisheni maafisa wapya JWTZ

    Jingalao naomba niorodheshee kwa kuzingatia mahali alipo wapa kamishen !!!!
  2. muncaster said

    Ikulu, Dar es Salaam: Rais Magufuli awatunuku Kamisheni maafisa wapya JWTZ

    Naomba nikumbushe kwa mtiririko wa kamisheni alizotoa kwa kuzingatia mahali alipowakamishen??
  3. muncaster said

    Mkuu wa Wilaya Vs Kamanda wa Polisi

    Kwanini polisi ni idara na sio jeshi????
  4. muncaster said

    Wizara ya elimu yaja na viwango vipya vya ufaulu kidato cha Nne.

    Kwa viwango gani vya grade za ufaulu kwa maana A inaanzia ngapi hadi ngapi B,C,na D???
  5. muncaster said

    Wizara ya elimu yaja na viwango vipya vya ufaulu kidato cha Nne.

    Kwa viwango gani vya grade kwa maana A inaanzia ngapi hadi ngapi,B,C,na D??????
  6. muncaster said

    2018: Ni Mwaka wa kuongeza mapato hifadhi ya Mikumi

    Hifadhi ya mikumi moja ya changamoto zake ni hiyo ya wasafiri wanaotumia barabara hiyo wanapata fursa ya kuona wanyama bure kabisa ni changamoto ambayo walishaainadili na kupendekeza wakusanye kodi kama unavyosema muanzisha mada,sasa barabara ile inatumiwa na nchi jirani kusafirisha mizigo yao...
  7. muncaster said

    Fahamu jinsi ya kutengeneza chakula chako cha kuku ili kupata faida

    theriogenology, Chokaa u anayo tumia ni. Hii ya nyumba?
  8. muncaster said

    Usaili wa JKT 2017 unaendeleaje?

    Subiri utaratibu mtaambiwa ... Jkt sifa uvumilivu so uvumilivu unanzia hapo
  9. muncaster said

    Saidi Ndemla wa Simba SC afuzu kucheza soka Sweden

    Dah Hongera zake na akaze sana...this is simba
  10. muncaster said

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Ungeandika hoja itakayo Fanya nionekane Nina uwezo mdogo wa kufikili kuliko kukashfu BT usijali nitakuacha uamini unachoamini
  11. muncaster said

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    So u amaana kuwa hitimisho la op muungano baada ya op zingine kusomwa wewe unaujua????acheni mambo yenu yakubisha jeshi linataratibu zake pia huenda op muungano wameandaliwa utaratibu WAP coz idadi yao yajulikana so time will tell...... Harafu wasomi kuachwa na kuchukuliwa wasiowasomi wanajua...
  12. muncaster said

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Ujui chochote unapuga yowe tu humu op muungano wore wataenda kozi ya ajira ...ukibisha tutaacha muda utoe jibu....na nitakukumbusha
  13. muncaster said

    Nafasi 3000 za JWTZ na waliopita JKT kwa Mujibu wa sheria.

    Acha utoto BT we unataka was elimu ya juu tu ndo wachukuliwe awamu hii mahitaji take ni hayo ya elimu ya juu kidogo na elimu ya chi ni wengi so hakuna tifauti kwa kuwa jkt wa elimu ya chini ni wengi sana kuliko was elimu ya juu so haya kiasi walichochukuliwa hakitishi
Back
Top Bottom