Recent content by Munamuge

  1. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Niko Mwanza, natafuta vibarua, kazi za halali za kulipwa kwa siku

    Mwalo upi huo nije aisee. Bwiru ama Kirumba
  2. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu ya Tanzania: Hatuuzi dhahabu kufadhili miradi ya Serikali

    Inafikirisha sana, nakumbuka kuna kipindi Magufuli aliwasema sana BOT kwa kitendo cha kutunza pesa za kigeni badala ya kuweka hifadhi ya dhahabu ambayo siku zote inaongezeka thamani. Sasa inakuwaje kukawa na hiyo sheria ya bodi inayoweka kikomo ilhali tulitaka tuende kwenye shehena kunwa kama...
  3. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Unakimbilia Dar kuchoma mahindi nyuma unaacha madini, shame on you

    Inategemea na tafsiri yako ya mchimbaji mdogo, kama unamaanisha wale wanaozama kupiga Moko na Bambam na Manyani wanaozamia duara zenye uzalishaji kuiba mawe yanayobebeka mfukoni ndio wachimbaji wadogo basi upo sahihi kusema hawatajiriki kwasababu wengi hawana mentality ya kutajirika bali kupata...
  4. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Kura za maoni zikishapigwa majina ya washindi hatarudishwa Taifani CCM kuamua yupi apitishwe kama Mgombea Rasm wa Ubunge

    Nakumbuka kwenye kikao cha kwanza tangu kupewa nafasi ya Uenyekiti Ndugu Samia aliahidi wajumbe kuwa hili halitatokea tena, akapendekeza mchakato wa kamati kuu uwe kabla ya kura za maoni. Baada ya kura za maoni ni Halmashauri za wilaya na mikoa tu. Nimeshangaa kusikia bado utaratibu upo, hata...
  5. Munamuge

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wajumbe walivyombeba Juujuu Kigwangalla kabla ya Kupiga Kura na Kumbwaga

    Kahama wasingeweza kumchagua Lembeli, na ndio maana hata baada ya kurejea CCM amekua akibwagwa mara zote. Ungeongelea enzi za akina Ezra Machogu na akina Bobson ningekuelewa, lakini kusema Lembeli alishinda akaibiwa kura ni kujidanganya. Hakubaliki hata kidogo.
  6. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Waafrica hawatumii majina ya Kirusi

    Ujamaa wetu ulifeli siku nyingi, tulibaki na jina kwa kuhofia kulazimika kutamka rasmi Ubepari.
  7. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Waafrica hawatumii majina ya Kirusi

    Asante kwa marekebisho kuhusu wapi itikadi ya ujamaa tuliipata. Lakini pia naomba ufahamu kuwa Katiba yetu imebainisha wazi kuwa sisi n wajamaa. Sura ya kwanza, Ibara ya 3 kifungu cha 1 cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) pamoja na mabadiliko yake yote. Inatamka rasmi kuwa ni...
  8. Munamuge

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jesca Magufuli Mgombea Ubunge Viti Maalum Kundi la Vijana Geita akiomba kura kwa wajumbe

    Nadhani kuibuka kwa hilo kundi la chawa kutakua kumechangia hili tatizo kweli, all in all kama waliomo wameridhia na wanashangilia matokeo yakitoka, basi ni vema. Lakini nikikumbuka zile enzi lazima tupite kwanza Chipukizi ndipo tuhamishiwe UVCCM naona kabisa sasa chama kimekengeuka.
  9. Munamuge

    JamiiForums Tanzania RIP kwa wanetu mliotutoka mngali bado vijana wadogo kabisa

    Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake tutarejea. Wapumzike kwa amani wapambanaji wenzetu. Mitaa inawamiss, mapengo yao huwa yapo tu siku zote.
  10. Munamuge

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Waafrica hawatumii majina ya Kirusi

    Kwani katiba yetu inatamka Tanzania ni aina gani ya taifa? Kama tumetaja ujamaa basi tayari tumeshawishika na Mrusi. Nadhani kilichomnyima nafasi ya kuwa na nafasi ni imani tulizoletewa zilitoka kwa wazungu na waarabu, ndio maana majina yao yametawala.
  11. Munamuge

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jesca Magufuli Mgombea Ubunge Viti Maalum Kundi la Vijana Geita akiomba kura kwa wajumbe

    Inatokeaje mtu anachukua kadi ya uanachama mwaka huu, anapitishwa kwenye mchakato na kisha kupewa jukumu kubwa la kuwakilisha vijana wa CCM (maana hawawakilishi vijana wengine)? Kuna vijana ndani ya chama wamekitumikia tangu watoto, wamekitolea jasho kwa uwezo na akili zao, wanakipambania...
  12. Munamuge

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Hongera yake, sasa hasira zake za kukatwa 2020 zitaisha. Kazi imebaki kwa wajumbe.
  13. Munamuge

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 POTOSHI Witara akimwaga machozi baada ya kuliwa kichwa na wajumbe

    Kwanini, Mabadiliko ya Katiba ya CCM hayakuhusisha mamlaka ya Kamati ya maadili na urejeshaji wa wagombea. Kama taarifa zangu zipo sahihi, kifungu kilichobadilishwa ni kimoja tu katika ibara ya 105 ibara ndogo ya 7 (f), kilichotaka majina yarudishwe matatu tu, nacho kimeomgezewa neno "isipokua...
Back
Top Bottom