Recent content by Munambefu

  1. Munambefu

    GE2025 Makonda: Nikiingia bungeni moto utawaka, nitapiga spana watu mpaka kitaeleweka

    Muambieni ubunge sio kama RC. RC ana mamlaka ya kukoromea watu na kuamuru mambo flani yafanyike. Ubunge tena chini ya CCM ni kupiga makofi na kuimba pambio kinyume chake utaliwa kichwa
  2. Munambefu

    Kwenye Ndoa yangu nahisi ninasalitiwa. Mke kachomwa sindano ya uzazi wa mpango bila mimi kujua

    Hiyo dam ya mkeo kwamba ni mabonge ulinionaje? Kwa kweli sijawahi kuona hata pedi ikiyotumika nyumbani kwangu labda packet la mpya na nilishatoa warning
  3. Munambefu

    Nalilia Taifa langu nazililia idara za Usalama wa Taifa, hakuna anayeona kesho ya Tanzania

    Watanzania wenyewe wanaopiganiwa wala hawana habari na hawataki kuelewa. Acha kila mtu atafikiwa kwa wakati wake na kwa namna yake
  4. Munambefu

    PICHA: Sasa nimeelewa kwanini CHADEMA walikataa Kata Kata.

    Sasa mimi ni jobless, niitwe nipewe kaposho na Lori la kwenda kwenye mkutano lipo, nitaacha kwenda? Ng'ombe wa mama hao. Hapa DSM wamewakusanya daladala zote sembuse huko kijijini! Siku utajua ww ni mjinga ni Wakat utaumwa ufike Muhimbimbili MOI uambiwe weka deposit ya lak 7 ndio tuanzishe...
  5. Munambefu

    Rais Samia akutana na rais wa TLS, Mwabukusi - Ikulu ya Chamwino Dodoma

    Naamini Mwabukusi hajapepesa maana sio jadi yake, ngumu ngumu
  6. Munambefu

    Wachaga ni Taifa Teule

    Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
  7. Munambefu

    Albert Msando, Mkuu wa Wilaya UBUNGO anatafuta Hela kinguvu kupitia makosa ya uonevu barabarani

    Hakuna watu wapumbavu kama dereva ambaye akikuta foleni anatanua. Kufanya hivyo kunaongeza foleni mara 100%.
  8. Munambefu

    GE2025 Aliyekuwa Kamishna wa Jeshi la Polisi, Jamal Rwambow ajiunga na ACT Wazalendo

    Kwa uzee huo ana impact gani? Yeye wala kwenye vichwa vya watu hakuna anayemjua
  9. Munambefu

    GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Wewe ni mpumbavu, Nimesema kuna baadhi ya sehemu. Mathalani majimbo yote ya Uchagani, uhayani, mbeya, kigoma nk huwez kushinda kama sio mzawa. Kwa akili yako Arusha ni Uchagani
  10. Munambefu

    GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Sijui nani alimuambia Kikeke adanganye wachaga eti yeye ni Mchaga wa Mabogini. Kuna sehemu ambazo kama ww sio mzawa huwezi kupenya hata uhonge vipi
Back
Top Bottom