Muambieni ubunge sio kama RC.
RC ana mamlaka ya kukoromea watu na kuamuru mambo flani yafanyike.
Ubunge tena chini ya CCM ni kupiga makofi na kuimba pambio kinyume chake utaliwa kichwa
Hiyo dam ya mkeo kwamba ni mabonge ulinionaje? Kwa kweli sijawahi kuona hata pedi ikiyotumika nyumbani kwangu labda packet la mpya na nilishatoa warning
Sasa mimi ni jobless, niitwe nipewe kaposho na Lori la kwenda kwenye mkutano lipo, nitaacha kwenda? Ng'ombe wa mama hao.
Hapa DSM wamewakusanya daladala zote sembuse huko kijijini!
Siku utajua ww ni mjinga ni Wakat utaumwa ufike
Muhimbimbili MOI uambiwe weka deposit ya lak 7 ndio tuanzishe...
Nawaona wenye IQ 60 wanavyotoka povu😂ila tuache hizi mambo hazijengi umoja japo haipingiki kuna mambo mengi sana makabila mengine inabidi waige kutoka kwa wajukuu wa Mangi
Wewe ni mpumbavu,
Nimesema kuna baadhi ya sehemu.
Mathalani majimbo yote ya Uchagani, uhayani, mbeya, kigoma nk huwez kushinda kama sio mzawa.
Kwa akili yako Arusha ni Uchagani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.