Mara kadhaa nimekuwa nikivuka kwa kutumia feery za busisi/kigongo, huduma ni mbovu sana kunauchereweshwaji wa makusudi, wafanyakazi ni majipu yanastahiki kutumbuliwa wana viburi sana. Mara nyingi inapokuwa usiku utendaji wao unakuwa mbovu sana, mnaweza kusubiri kuvuka hata masaa 3 au 4, au...
Nililipa kuichangia serikali maana alinipa na notification, ingawa nilipo muomba risiti alisema mpaka turudi geita kwa muhasibu au nimpe namba yangu ataituma central police Mwanza.
Unajua hizi tochi za sasa kama ikisha kumulika tu hawana uwezo wa kuifuta mpaka katika server yao, ndio maana yale...
Mbali na jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali kuondoa rushwa na kuongeza mapato serikalini, lakini bado trafic wetu nao wanabuni mbinu mbali mbali kuhujumu mapato ya serikali na kujiongezea kipato isivyo halali.
Serikali imehakikisha inanunua kamera kuzibiti mwendo (Tochi) kwa ajili ya...
Mbali na jitihada mbali mbali zinazofanywa na serikali kuondoa rushwa na kuongeza mapato serikalini, lakini bado trafic wetu nao wanabuni mbinu mbali mbali kuhujumu mapato ya serikali na kujiongezea kipato isivyo halali.
Serikali imehakikisha inanunua kamera kuzibiti mwendo (Tochi) kwa ajili ya...
Fred hivyo visingizio, watanzania na umasikini wawo lakini wapo macho wanajua kuchambua chuya na mchele, chadema si chama cha kuongoza Tanzania, kinamabo mengi ya kutugawa, udini, ukabila, ukanda, uroho wa madaraka na ufujaji wa pesa CDM ni hatari
Mi siamini chadema wameshindwa? Kama ni kweli nawapongeza Watanzania chadema ilikuwa inakuja kutumaliza na ubaguzi, ukabila na udini, ni chama hatari sana, tukiogope kama ukimwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.