Usiombe kuvamiwa na majambazi , nilikuwa Moçambique mji mmoja unaitwa Cumba,au kwamba.kisa kilianza hivi mwenye nyumba aliniambia anataka kuivunja nyumba yake ilikuwa iko kalibu na njia ya treini na alishalipwa pesa,tukakubaliana basi nitaamia banda la uwani ingawa lilikuwa halina mlango kwa...
kweli dini ni ngumu kama ukisoma kitabu kimoja,utabaki kusikiliza maneno ya watu,lakini dini nyepesi kama utasoma vitabu vyote vya Mwenyezi mungu pasipo kuchagua,ndio maana Leo watu wanafwata yaliyoanzishwa na mwanadamu yasiyokuwa na historian yoyote ile pole sana ndugu yangu.
Unaijua miezi...
umenikumbasha mbali sana,nilienda hotel moja Brantire nikakuta wenye hotel wanaongea kireno,basi na Mimi nikawasalimia kwa kileno ingawa lugha yenyewe nilikuwa siijui vizuri,basis muhudumu alipokuja akaniuliza utakula chakula gani? nikajibu kwa haraka ugali na wali,nikaona muhudumu ananishangaa...
kwanza ukienda kumshitaki polisi imekula kwako unaingia katika kesi ya uhujumu uchumi, ni selikali halali tu yenye mamlaka ya kutengeneza pesa,hapo inabidi ukalilie maumivu chooni,tena kimyakimya
yaani kuna watu wameibiwa ng'ombe wao kijiji cha mgongo usiku wa leo wakawa wanafwatilia miguu ya ng'ombe,wakaikuta imeshia nyumbani kwa mtu,kuingia ndani wanamkuta ng'ombe wao kachinjwa na alishaanza kuchunwa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.