alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Naandika hapa kwa maumivu makali na hali sasa imekua tata si kama awali naombeni ufumbuzi
Ni Leo mchana nimebahatika kununua dawa ya kuharisha kwa yelo subai (Maasai) ili niharishe na kusafisha tumbo, akanipatia dawa na kuniambia ni funga kazi kua nitumie then nikiona nimechoka ninywe maji ya baridi hali itakata
Sasa wadau niko chooni masaa mawili na nusu naharisha tu majimaji na nimekunywa hayo maji ya baridi hali bado haikati
Msaada ndugu zangu ni nini nitumie kingine niondokane na hii dhahama
Ni Leo mchana nimebahatika kununua dawa ya kuharisha kwa yelo subai (Maasai) ili niharishe na kusafisha tumbo, akanipatia dawa na kuniambia ni funga kazi kua nitumie then nikiona nimechoka ninywe maji ya baridi hali itakata
Sasa wadau niko chooni masaa mawili na nusu naharisha tu majimaji na nimekunywa hayo maji ya baridi hali bado haikati
Msaada ndugu zangu ni nini nitumie kingine niondokane na hii dhahama