Ndugu kwakweli hawajafanya vizuri Mimi hata shilingi hamsin sijapata na mshahara wangu ni mdogo daah! Tutafute vingine vya kufanya mtumishi wa Umma Hana thamani.
Eti unakuta wageni wanakaa na watoto hadi wanasinzia kisa eti tumsubiri baba arudi ndio wote mle chakula utasema huyo baba kawabebea matumbo Mimi sipendi kabisa watu wenye hii tabia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.