NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,512
- 17,420
Mkuu inataka kumaanisha vijana wa paka mrefu wamefanya yao!!!?Kifo Cha Prof Ngowi kimeniuma kama nimempoteza kaka yangu Genius. Yani nilimpenda na kiukweli taifa tumepoteza kichwa. Jambo lakutisha sana uwenda mpaka sasa kama Taifa hatujajuwa umuhimu wa hiz think tank. Usije ukashanga Hit team ya taifa fulani imemmaliza. Why 😭 mtu mmoja aweza kuwa mchawi wa mapinduzi ya uchumi nakuliokoa taifa ktk dhiki na ukimuondoa huwez pata kichwa kama hiko tena.
Nilazima kama Taifa tujuwe tupo ktk mabadiliko makubwa ya uchumi na kama sijakosea huyu Prof was among RC that team. Kubadili fikra za vijana kutoka kuajiriwa na kujiajiri.
Prof Amelala amelala na maujanja yote yakulikomboa Taifa. Kiukweli Mungu ndie anajuwa ila nadiriki kusema Prof hajafa bali ameondoshwa na viumbe tusivyo viona je aligusa nini au alitegewa nini Mungu Mungu ndie anajuwa. Kifo Cha Prof Ngowi kinatukumbusha kumbukizi zakutisha kwenye same barabara Moja Waziri Mkuu Sokoine, Pili Mch Mtikila tatu Mzee Kombe na mwisho😭😭😭.
Tusipo fungua macho tutakuwa vipofu natusipo kuwa vipofu tutakuwa mazezeta... 😭😭😭🤐🤐🤐🤐
Hii barabara inatisha sana wajuvi tujuzen.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.