Recent content by Mume4

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uliza chochote kuhusu Passport na Namba ya NIDA

    Ninataka KUFUTA NIDA Yangu, naam KUIFUTA kabisa !. Nifanyeje ?
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutafuta mchamba wa kike ili naye ndoa

    Pm ya nani mkuu ?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mtu unapata wapi ujasiri wa kuzaa mtoto wakati unajua wewe ni fukara, maskini choka mbaya, hohe-hahe?

    Una akili sana ndugu, huu uzi una hekima sana. Asante !
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Harakati za kutafuta mpaka kuandikishwa JWTZ

    Pole sana kiongozi. Angalia chaguo lako bora la pili baada ya hilo ulilokosa ulipambanie kulipata.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Siku chache zilizopita waliwahitaji watu wa masomo ya sanaa pia.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi waanza Msalato Dodoma

    ... na hospitali zingine teule kama za moyo, mishipa ya fahamu na ubongo, macho n.k ? Au wanajenga tuu hospitali za kawaida mpaka Mungu arudi ddddddd
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi waanza Msalato Dodoma

    Lini JWTZ itajenga hospitali teule ya saratani ?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Ukiangalia vizuri, hata huko unakodhani una uhuru, kuna muda lazima ujiamrishe tuu wewe mwenyewe kufanya mambo flani yanayokuhusu, unajipa amri wewe mwenyewe na usipoitekeleza basi mambo yako lazima yaende kombo. Bado ni mle mle tuu kwamba kuwajibika na kutii amri yako mwenyewe (kama wanajeshi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Sawa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kiasi gani mshahara IST (International School of Tanganyika) - Accountant nani anajua?

    Kwa sasa 2021+ nadhani ni zaidi ya mara mbili ya hapo.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Linao watu muhimu ndugu, ndio maana wataalamu wanaohitajika huko huwa wanafanyiwa usaili wa kujiunga na JWTZ moja kwa moja. Hizo za kusema "jeshi halina watu muhimu" zinabaki kuwa siasa tuu za maneno, ila uhalisia ndio huo.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Huyo waziri lazima alindwe na askari kijana. Mwenyezi Mungu amempatia karama tofauti kila mmoja wetu, wote tukiwa mawaziri nani atailinda nchi yako dhidi ya uvamizi wa adui ? Nani atatibu wagonjwa ? Nani atakuwa raia ? N.k Ndio hivyo wewe unavyopenda uwaziri, wenzio wanapenda jeshi. Wengine...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Nadhani Hii kwa jeshi la Polisi ndio inakuwa na mashiko sana.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Ahaaah, kama una uhakika ni ushauri mzuri kwa vijana.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kozi zitakazokuwezesha kujiunga kirahisi na JWTZ

    Wapo mpaka maprofesa jeshini kijana, ni kawaida tuu. Jeshi limekuwa la kisasa linaenda na wakati.
Back
Top Bottom