Kiongozi umeitwa kwa interview nn coz nimeapply sio mda mrefu.
Mshahara si utaona kwenye mkataba au ukijua hautasaini mkataba.
Watu wanahangaika na kazi yeye yupo busy kuhangaika na mshahara
Not below 900,000 gross
Doooo hawa jamaa waliwali kuniita kwenye interview writen,oral,practical (IT ASSISTANT) nikapita then wakaniita kwaajili introduction.lakini baada ya hapo wakanipotezea mpaka leo nasubiria from 2011.
Kwa sasa 2021+ nadhani ni zaidi ya mara mbili ya hapo.Not below 900,000 gross
Duh……sijaelewa kabisa!kima cha chin unaanzia laki 4 nd t depnd wth ur pstn bab kama kuna mchng 2julshn cz me ni idol i gt nthng 2 kp ma slf bz
......he is idol and's got nothing to keep himself busy ...Duh……sijaelewa kabisa!
Upo mtaani miaka mitatu kwa sababu ni mjinga kwa mtazamo huu... Wewe unaona mwenzio anaeuliza mshahara ni mpuuzi but anafanya jambo sahihi sanaMijitu mingine bana badala ya kuangaika upate kazi unauliza mshahara nafikiri hauja kaa vizuri mtaani niulize nagonga miaka mitatu