Kama nilivyotangulia kusema majini na binadamu sote ni viumbe wa mungu,Kazi tunazofanya wanadamu hata ujinini pia wanafanya,kuna mafundi bomba,umeme,madaraja,wasomi wakubwa,mapadre mashekh n.k pia kama tunavyosaidiana wanadamu katika shida,pia majini husaidia wanadamu na hata wanadamu wenye...