Recent content by Multtrillionare

  1. Multtrillionare

    Kutana na dalali wa nyumba Dar es Salaam

    Room na sebule ama room mbili na sebule, maeneo ya kuanzia africana hadi tegeta...
  2. Multtrillionare

    Uzi maalum kwa ajili ya wanaotafuta na wanaopangisha nyumba

    Chumba na sebule ama vyumba viwili na sebule, vinahitajika, kuanzia mbezi beach hadi tegeta..if any pm pls.
  3. Multtrillionare

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Namba unazoziona hazijakosewa mkuu..ziko sahihi kbs.
  4. Multtrillionare

    HusnaThebosslady live on muosha rungu TV show!

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani wewe bora Mungu akakuumba sura mbaya...vinginevyo, sisi waswahili tusingetembea barabarani.
  5. Multtrillionare

    Kuweni makini na HALOTEL

    Mimi najiungaga hichi kifurushi 10GB, ila hazijawai kumaliza mwezi mi nashangaa..ni wiki mbili na nusu tuu wananiletea msg nimebakiwa na 0mb. Sijui wananiibia.
  6. Multtrillionare

    "Siwezi olewa na Mwanaume huyu (Gudume) hata wanaume wote wakiisha Duniani.Bora niolewe na Punda"

    Daaah!..uyo dada jamani. Ameapa bora aolewe na PUNDA/NYANI kuliko GUDUME, then anamhisi GUDUME ni Mkurya, implication ake ni kwamba hao Nyani/Punda ni bora kuliko wakurya..kweli asee!!! Kama ni kweli, basi atakuwa ametukosea sana sana.
  7. Multtrillionare

    Kitendo cha ITV na Mzee Mengi kupiga kimya hoja ya Makonda ni darasa tosha

    Wataanzia wapi kureport na imepigwa marufuku. Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
  8. Multtrillionare

    Nauza sofa na fridge

    Bado mitatu ama bado minane!!..we yani ka ndo mtoto anaingia std1 now subiri adi siku ukimwona form 1.
  9. Multtrillionare

    Polepole: CCM tunalaani uchochezi wa kidini unaofanywa na mwanasiasa mmoja

    Na baada ya kutolewa tamko ni nini kinachoendelea huko kibiti??
  10. Multtrillionare

    Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

    Kwan kuna mitaa mingapi hapa Tanzania ambayo haina majina rasmi? Haitoshi kuwaita hao wote ulowataja?? Na mbona siku zote huo mtaa ulikuwepo na msiuite majina ya hao ulowataja? Leo kuitwa jina la uyo jamaa ndo mnakumbuka ka mngweza kuwaita hao ulowaorodhesha?? Acheni roho za kwanini na siasa za...
  11. Multtrillionare

    Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

    Kwani majina ya mitaa yote nchi hii yasiokua ya wazawa yalitolewa na huyo meya ama chadema!!..??
  12. Multtrillionare

    Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

    Bro una mawazo mapana sana. Swala ni logical ka hio tuu wala uzawa hauna nafasi hapo. Tuna mitaa mingi Tz yenye majina yasiokua ya wazawa..tunapungukiwa na nini kwa hilo.
  13. Multtrillionare

    Hakuna mwanaume asiyependa ngono

    Mkuu yule jamaa ako ameanza kukuelewa?..uliweza kujitoa ufahamu kumfungukia?
Back
Top Bottom