Recent content by Multrilionare

  1. Multrilionare

    2008 SUBARU LEGACY GT

    Offer yako ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Multrilionare

    Kwa wataalamu tu, kuhusu mwendo kasi wa magari

    Hata wewe mwenye gari ndogo ukiwa mbele tayari na unatembea speed ya 80 na mwenye scania yupo nyuma anatembea speed ya 80 pia nae hawezi kukupita mana wote mnatembea speed sawa, ili akupite anapaswa atembee speed kubwa zaidi kuliko wewe, and the vise-versa is true!
  3. Multrilionare

    Brand New Samsung Galaxy S6

    Tecno spark9 bei yake mkuu!!
  4. Multrilionare

    Nina Bajeti ya Mil 8, mwenye gari voltz namba D tuwasiliane

    Acha masihara mkuu, labda kama ungesema namba B, lakini volt namba D kwa garama hio sijui.
  5. Multrilionare

    Jiwe kubwa(Asteroid) kupita karibu na Dunia April 13, 2029

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  6. Multrilionare

    Ndoa mashakani: Nina miaka 30, sina hamu na tendo la ndoa!

    Utanzania kwakweli ni mzigo, yaan wewe ktk andiko lote ulichoona ni hilo neno binti tu na ukaja kulizungumzia hapa. Content ya andiko hata hukuielewa!! Familia unayoiongoza kazi inayo!!
  7. Multrilionare

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    McTominay kwangu mimi ni bora kuliko uyo rice, lkn kwa kua ni mwingereza watamnunua tena kwa garama kubwa tu thn ajabu atakuja kumpigisha McTominay bench. Uyu dogo McTominay ameshajiprove ni bs tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Multrilionare

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nafikiri tunatofautiana sana namna tunavoangalia mpira na kuutafasiri. Kwangu lakaku ni bora sana kwasababu ana_offer vitu vingi sn uwanjani, anasimama kama main man pale mbele na akiwepo beki hazina amani, anatokea pembeni na analeta cross za mana kana kwamba ni natural winger. Yupo physical na...
  9. Multrilionare

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nilikua shabiki mkubwa sn wa Ole kutaman apewe team, lkn kwa jins anavomtreat lukaku ata sina hamu nae tena, lukaku anafanya kazi kubwa sn hata kuliko alipokuwepo mourinho, lkn haka kazee ole ata hakamthamini. Anakiacha kilingard kinakata tu mauno mle ndani anamtoa mchezaji nje. Ivi ole...
  10. Multrilionare

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Angalau Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Multrilionare

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ole anamkosea sana lukaku kwa kuwa anamtia bench huku kirashford kinarukaruka tu kule ndani. Jana nimeumia sana kumwona lukaku anaenda nje huku rashford kimo ndani kinatoa tu macho!! Ole kama ataendeleza haya mapenzi ya kijinga simwoni akifika popote na hii team!! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Multrilionare

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Multrilionare

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Duh nyie mashabiki bhana, uyo aguero ndo mpiga penati siku zote hapo city leo ulitaka apige nani sasa! Ulitaka pep aote kua leo atakosa ili abadili mpiga penati??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Multrilionare

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Huwezi amini silva hakuonekana kbs kwa dakika zote 88 alizocheza! Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom