Recent content by mult_talented_p

  1. mult_talented_p

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umeme unakatika kila siku. Unakata af unarudi. Mwanzoni nikafikiri ni mtaa wangu tu. Lakini nikienda chuoni hata mchana, unakata af unarudishwa tena. Tatizo hili limeanza juzi juzi tu ambapo wanafunzi wengi wanakuwa wanakwenda kwenye makampuni mbali mbali kwa ajili ya mazoezi kwa vitendo yaani...
  2. mult_talented_p

    Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    According to a research done, our President Dr. John Pombe Magufuli is the most educated President in Africa! I feel proud as an academician, a chemist and as a Tanzanian that my President leads. Congratulations Mr. President.
  3. mult_talented_p

    Msaada wa bei za pembejeo za kilimo pamoja na upatikanaji wake

    Mimi ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili ya sayansi, na ninafanya utafiti wangu kwenye aina moja ya sumukuvu (Aflatoxins) inayopatikana sana kwenye mahindi, alizeti, na karanga. Ninahitaji kujua bei za pembejeo au dawa za kuzuia wadudu wanaoshambulia mahindi na kuzalisha sumukuvu ijulikanayo...
  4. mult_talented_p

    Dear President, a letter from a University Graduate

    Education is not a way to heaven.
  5. mult_talented_p

    Dear President, a letter from a University Graduate

    Dear President. I am extremely grateful to your government. It has been doing well, to say for many. I recall that some years ago I wrote a letter to you [through this media] that me and my friends needed loan allocations to complete our studies. Thank you because, years later I and my friends...
  6. mult_talented_p

    #Usiniwekestatus

    Katika ulimwengu ambao kinachofanyika hapa, kinaonekana hadi nje ya nchi, nimeanzisha kampeni ya kuwaokoa watu na uhalifu wa kimtandao. Kwa muda sasa nimekuwa nikifanya utafiti wa maswala haya ya kimtandao nikitafuta kujua kuwa ni kwa jinsi gani yanavyoweza kuathiri maisha ya watumiaji wake...
  7. mult_talented_p

    Sifa kuu tano za Siasa.

    Siasa ina sifa mbali mbali, pamoja na kuwa na maneno mengi na uongo mwingi sana. Kwenye utekelezaji, yaani practice, siasa inajidhirisha kuwa kwanza haina marafiki wala maadui wa kudumu. Lakini, siasa hio hio, ina maslahi ya kudumu. Sera za Siasa hubadilika kutokana na mazingira na hivyo...
  8. mult_talented_p

    By wiping out the surviving elements of imperialism and carrying out democratic policies,

    By wiping out the surviving elements of imperialism and carrying out democratic policies, we must guarantee freedom for the popular masses and take concrete measures to improve the people's living standards. Of course there are many other problems but at the present stage we can only tackle...
  9. mult_talented_p

    Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai

    I argue that, majority rule and minority rights. That is the true definition of Democracy and not necessarily a rebellion.
  10. mult_talented_p

    Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai

    Kilio changu kikubwa ni kuwaelekea vijana.
  11. mult_talented_p

    Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai

    Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai. Ukitamani kuwa kiongozi bora wa baadae, sio kwa kujitoa muhanga. Soma, omba Mungu. Fanya mambo yanayoonekana kwenye jamii. Mimi nina imani, haki itakuja bila kumwaga damu. Biblia inatuhusia kuwa tuwaombee viongozi walioko juu yetu. Mungu...
  12. mult_talented_p

    Merry Christmas

    Godliness with Character is key to a successful life.
  13. mult_talented_p

    Asili ya Kunguru wa Dar

    Miezi kadhaa iliopita, Mungu alinifikisha mkoani Mwanza kwa ajili ya kufanya mafunzo yangu ya vitendo yaani (field practice). Kwakuwa nilikuwa mwenyeji wa Dar nilishangaa sana kuona kuwa hapo Mwanza hapakuwepo na kunguru, kama wa Dar. Nilijaribu kudadisi na kuuliza kwa nini Mwanza hamna...
  14. mult_talented_p

    What would be the fate of African nations, if USA and North Korea fight?

    Prayer is a weapon that can never be taken away from you
Back
Top Bottom