The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,586
You are not clear what actually do you need from our president?
Wewe ni sawa na avatar yako walahiHuyo uliomtumia huu ujumbe "Dear President" sijui kama ataelewa hii lugha.
Maana English hajui.
Nini kifanyike Juu ya wanafunzi hao..??Niliona online tv 80% ya wanafunzi Udom hawajui maana ya ATM. Nadhani huyu ni mmoja wao.
..... Mwanzo nilifikiri kuongea kiingereza ni kuwa na akili.
Ndo graduate wa Leo hawa jamani! Poor my country,
Afu ukute nae anataka kuwa Mwalimu.
Mulugo sijui aliipotelea wapi, alikuwa ametuua kabisa
Msomi gani wewe? Utakuwa msomi uchwara tu hata jina lako hujui kama linatakiwa lianze na herufi kubwa?Watu kama nyie ndo mnafanya wasomi tuonekane Watu wa ajabu.