Nawasihi vijana msijitoe muhanga. Vumilieni mbaki hai

mult_talented_p

Senior Member
Oct 10, 2016
103
120
Nawasihi vijana msijitoe muhanga.
Vumilieni mbaki hai.

Ukitamani kuwa kiongozi bora wa baadae, sio kwa kujitoa muhanga. Soma, omba Mungu. Fanya mambo yanayoonekana kwenye jamii. Mimi nina imani, haki itakuja bila kumwaga damu.

Biblia inatuhusia kuwa tuwaombee viongozi walioko juu yetu. Mungu aliwaambia wana wa Izraeli walioko uhamishoni kuwa waiombee amani nchi ile waliyokuwako maana katika amani ya ile nchi, na wao wangekuwa na amani. Nasi tuwaombee viongozi wetu; amani pamoja na, umoja wa nchi yetu.

Duniani kuna siasa za aina Tatu.
Siasa za Mrengo wa Kulia
Siasa za Mrengo wa Kushoto Na,
Siasa za Mrengo wa Kati; zisizofungamana na Mrengo wowote au, zikiwa zimechukua baadhi ya itikadi za Mrengo wa Kulia na baadhi za Mrengo wa Kushoto.

Wakati Mrengo wa Kushoto ukisimamia haki, na uhuru wa kiuchumi na kijamii, Mrengo wa Kulia unasimamia Maslahi ya nchi na ulinzi wa katiba ya nchi, ukiweka mkazo kwenye matakwa ya serikali. Hii ni kwa lugha nyepesi ya kuelewa. Mrengo wa Kati huwa ukichota baadhi ya itikadi kutoka Mirengo yote miwili.

Lakini, wananchi wengi ni mashabiki wa siasa, kama walivyo mashabiki wa soka, bila kujua kiundani sana, wanafungamana na siasa za Mrengo upi. Jambo hili halidhuru lakini ni vizuri kulifahamu.

Siasa inahitaji uvumilivu au kwa kimombo, Political Tolerance.
Siasa haipaswi kutenganisha jamii.
Siasa ni msingi wa utawala wa Nchi.
 
Let us declare that kiswahili ni janga la kitaifa...we are going to deteriorate our swahili language. Kwani huko shuleni huwa wanafundishwa nini?
Turudi kwenye mada, mkuu nikuulize swali dogo tu. Unaelewa nini maana ya neno siasa na the way inavyofanya kazi?
 
Well said #mult_talented_p

Ni ombi langu kwa Mungu machafuko yanayotahayarishwa na baadhi ya watu wasio na hekima na si miongoni mwa watakoa athirika na vurugu ambazo zinaweza kujitokeza yakome na kamwe yasitokee.

Tuilinde amani yetu ambayo Mungu ametupa miaka mingi sasa imepita, haki itapatikana tu kama tukiwa wavumilivu.

Kila linaloandaliwa na kuchochewa mtandaoni na ndugu yetu MANGEKIMAMBI ambaye yupo ughaibuni akila raha na familiya yake lisiwe chachu la kutuvuruga na kusababisha amani yetu kupotea (vifo, hasara, magonjwa nk).

Ninaamini kwa serikali tuliyonayo ambavyo isivyo vumilivu, vifo vingi vitatokea; angalieni yaliyotokea kwenye baadhi ya chaguzi ndogo zilizofanyika, tumepoteza watu kadhaa kwa mfano: katibu wa Chadema, akwillina(mwanafunzi wa chuo), kada wa ccm aliye hoi hospitali. Nk (tujifunze kwa mifano)

TANZANIA NAKUPENDA.
 
Well said #mult_talented_p

Ni ombi langu kwa Mungu machafuko yanayotahayarishwa na baadhi ya watu wasio na hekima na si miongoni mwa watakoa athirika na vurugu ambazo zinaweza kujitokeza yakome na kamwe yasitokee.

Tuilinde amani yetu ambayo Mungu ametupa miaka mingi sasa imepita, haki itapatikana tu kama tukiwa wavumilivu.

Kila linaloandaliwa na kuchochewa mtandaoni na ndugu yetu MANGEKIMAMBI ambaye yupo ughaibuni akila raha na familiya yake lisiwe chachu la kutuvuruga na kusababisha amani yetu kupotea (vifo, hasara, magonjwa nk).

Ninaamini kwa serikali tuliyonayo ambavyo isivyo vumilivu, vifo vingi vitatokea; angalieni yaliyotokea kwenye baadhi ya chaguzi ndogo zilizofanyika, tumepoteza watu kadhaa kwa mfano: katibu wa Chadema, akwillina(mwanafunzi wa chuo), kada wa ccm aliye hoi hospitali. Nk (tujifunze kwa mifano)

TANZANIA NAKUPENDA.


unapotoa comment kama hii pia uwe unatoa na muongozo wa nini kifanyike ili haya mambo yanayoendelea nchi hii yaweze kuisha. Ni kweli tumepoteza watu kadhaa. So what?
 
Nawasihi vijana msijitoe muhanga.
Vumilieni mubaki hai.

Ukitamani kuwa kiongozi bora wa baadae, sio kwa kujitoa muhanga.
Soma, omba Mungu. Fanya mambo yanayoonekana kwenye jamii.
Mimi nina imani, haki itakuja bila kumwaga damu.

Biblia inatuhusia kuwa tuwaombee viongozi walioko juu yetu.
Mungu aliwaambia wana wa Izraeli walioko uhamishoni kuwa waiombee amani nchi ile waliyokuwako maana katika amani ya ile nchi, na wao wangekuwa na amani.
Nasi tuwaombee viongozi wetu; amani pamoja na, umoja wa nchi yetu.

Duniani kuna siasa za aina Tatu.
Siasa za Mrengo wa Kulia
Siasa za Mrengo wa Kushoto Na,
Siasa za Mrengo wa Kati; zisizofungamana na Mrengo wowote au, zikiwa zimechukua baadhi ya itikadi za Mrengo wa Kulia na baadhi za Mrengo wa Kushoto.

Wakati Mrengo wa Kushoto ukisimamia haki, na uhuru wa kiuchumi na kijamii, Mrengo wa Kulia unasimamia Maslahi ya nchi na ulinzi wa katiba ya nchi, ukiweka mkazo kwenye matakwa ya serikali.
Hii ni kwa lugha nyepesi ya kuelewa.
Mrengo wa Kati huwa ukichota baadhi ya itikadi kutoka Mirengo yote miwili.

Lakini, wananchi wengi ni mashabiki wa siasa, kama walivyo mashabiki wa soka, bila kujua kiundani sana, wanafungamana na siasa za Mrengo upi.
Jambo hili halidhuru lakini ni vizuri kulifahamu.

Siasa inahitaji uvumilivu au kwa kimombo, Political Tolerance.
Siasa haipaswi kutenganisha jamii.
Siasa ni msingi wa utawala wa Nchi.


Tell us hiyo njia ambayo watu waweza kupata haki bila kumwaga damu. May be watu wanahangaika kutumia njia ngumu kumbe kuna njia nyepesi.
 
Nawasihi vijana msijitoe muhanga.
Vumilieni mubaki hai.

Ukitamani kuwa kiongozi bora wa baadae, sio kwa kujitoa muhanga.
Soma, omba Mungu. Fanya mambo yanayoonekana kwenye jamii.
Mimi nina imani, haki itakuja bila kumwaga damu.

Biblia inatuhusia kuwa tuwaombee viongozi walioko juu yetu.
Mungu aliwaambia wana wa Izraeli walioko uhamishoni kuwa waiombee amani nchi ile waliyokuwako maana katika amani ya ile nchi, na wao wangekuwa na amani.
Nasi tuwaombee viongozi wetu; amani pamoja na, umoja wa nchi yetu.

Duniani kuna siasa za aina Tatu.
Siasa za Mrengo wa Kulia
Siasa za Mrengo wa Kushoto Na,
Siasa za Mrengo wa Kati; zisizofungamana na Mrengo wowote au, zikiwa zimechukua baadhi ya itikadi za Mrengo wa Kulia na baadhi za Mrengo wa Kushoto.

Wakati Mrengo wa Kushoto ukisimamia haki, na uhuru wa kiuchumi na kijamii, Mrengo wa Kulia unasimamia Maslahi ya nchi na ulinzi wa katiba ya nchi, ukiweka mkazo kwenye matakwa ya serikali.
Hii ni kwa lugha nyepesi ya kuelewa.
Mrengo wa Kati huwa ukichota baadhi ya itikadi kutoka Mirengo yote miwili.

Lakini, wananchi wengi ni mashabiki wa siasa, kama walivyo mashabiki wa soka, bila kujua kiundani sana, wanafungamana na siasa za Mrengo upi.
Jambo hili halidhuru lakini ni vizuri kulifahamu.

Siasa inahitaji uvumilivu au kwa kimombo, Political Tolerance.
Siasa haipaswi kutenganisha jamii.
Siasa ni msingi wa utawala wa Nchi.
Mlidhani mtawatisha?
 
Upo hapa sasa hivi ulipo kutokana na nguvu za Mashujaa wetu ambao walitoa uhai, nguvu, akili na kipato kidogo ili kujikomboa kutoka kwenye mikono midhalimu ya wakoloni, hizo DINI walizileta wao b4 wao maisha yalikuwepo na sheria, utii na utamaduni vilikuwepo.

Nina mengi ya kukwambia ila dada/kaka

EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVERY.
 
Naskia kuna mtu anayafanya hayo!! sijui umejaribu kumwambia kabla yakuja huku kwa vijana!? na kama ndio alikujibu nn? na kama hapana kaendelee kufanya utafiti.
NANI? NA WEWE UMEANZA RAMLI CHONGANISHI? TUTAJIE NANI ANAFANYA HAYO?
 
Ilinichukua muda kubaini ya kwamba alivyoandika "MRENGO" alikuwa anamaanisha "MLENGO". Hiki kizazi kinaua Kiswahili.
 
"Siasa haipaswi kutenganisha jamii". Hapa ndipo point ilipolala. Sasa jiulize: Siasa zetu za sasa zinatenganisha jamii au la? Jibu unalo.
 
Nawasihi vijana msijitoe muhanga.
Vumilieni mbaki hai.

Ukitamani kuwa kiongozi bora wa baadae, sio kwa kujitoa muhanga. Soma, omba Mungu. Fanya mambo yanayoonekana kwenye jamii. Mimi nina imani, haki itakuja bila kumwaga damu.

Biblia inatuhusia kuwa tuwaombee viongozi walioko juu yetu. Mungu aliwaambia wana wa Izraeli walioko uhamishoni kuwa waiombee amani nchi ile waliyokuwako maana katika amani ya ile nchi, na wao wangekuwa na amani. Nasi tuwaombee viongozi wetu; amani pamoja na, umoja wa nchi yetu.

Duniani kuna siasa za aina Tatu.
Siasa za Mrengo wa Kulia
Siasa za Mrengo wa Kushoto Na,
Siasa za Mrengo wa Kati; zisizofungamana na Mrengo wowote au, zikiwa zimechukua baadhi ya itikadi za Mrengo wa Kulia na baadhi za Mrengo wa Kushoto.

Wakati Mrengo wa Kushoto ukisimamia haki, na uhuru wa kiuchumi na kijamii, Mrengo wa Kulia unasimamia Maslahi ya nchi na ulinzi wa katiba ya nchi, ukiweka mkazo kwenye matakwa ya serikali. Hii ni kwa lugha nyepesi ya kuelewa. Mrengo wa Kati huwa ukichota baadhi ya itikadi kutoka Mirengo yote miwili.

Lakini, wananchi wengi ni mashabiki wa siasa, kama walivyo mashabiki wa soka, bila kujua kiundani sana, wanafungamana na siasa za Mrengo upi. Jambo hili halidhuru lakini ni vizuri kulifahamu.

Siasa inahitaji uvumilivu au kwa kimombo, Political Tolerance.
Siasa haipaswi kutenganisha jamii.
Siasa ni msingi wa utawala wa Nchi.
Tulia wewe!
 
Well said #mult_talented_p

Ni ombi langu kwa Mungu machafuko yanayotahayarishwa na baadhi ya watu wasio na hekima na si miongoni mwa watakoa athirika na vurugu ambazo zinaweza kujitokeza yakome na kamwe yasitokee.

Tuilinde amani yetu ambayo Mungu ametupa miaka mingi sasa imepita, haki itapatikana tu kama tukiwa wavumilivu.

Kila linaloandaliwa na kuchochewa mtandaoni na ndugu yetu MANGEKIMAMBI ambaye yupo ughaibuni akila raha na familiya yake lisiwe chachu la kutuvuruga na kusababisha amani yetu kupotea (vifo, hasara, magonjwa nk).

Ninaamini kwa serikali tuliyonayo ambavyo isivyo vumilivu, vifo vingi vitatokea; angalieni yaliyotokea kwenye baadhi ya chaguzi ndogo zilizofanyika, tumepoteza watu kadhaa kwa mfano: katibu wa Chadema, akwillina(mwanafunzi wa chuo), kada wa ccm aliye hoi hospitali. Nk (tujifunze kwa mifano)

TANZANIA NAKUPENDA.
Amani gani unahubiri wewe wakati Abdul ametekwa na hatujui alipo?
Kinachofata ni machafuko, asijidanganye na jeshi, umma ni jeshi kubwa kuliko yeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom