Wewe ni stadi sana ila aliye lala, kwani wewe unatembea kwenye dhana wakati huo anaousema Askofu Gwajima ni utafiti na utafiti hupingwa kwa tafiti nyingine hivyo kukurupuka na kulopoka hapo umeonyesha hujielewi sir
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba Nape atuonyeshe mapato yatokanayo na kupiga mziki Tbc kipindi ambacho tungeona Bunge letu live lkn kingine kama kuna dhamira ya kweli ya kumsaidia mh. Rais kukusanya fedha kwanini isitumike Tbc 2 kuonyesha Bunge kwakuwa inaonyeshwa kwa kulipia Bando na kwasababu watu wanataka kuliona...
Vitu vingine kama huna hoja bora kuwa kimya mtoa mada uliisha fatilia ule muda wa ambao unadaiwa ni kubana matumizi huwa nini kinaonyeshwa Tbc? zaidi ya Music na ni shilingi ngapi music hiyo inaiingizia Tbc?, au unatumika mdogo wangu.
Ni ushetani tu ulioitiwa ni taratibu za kidini ili kutetea uzinzi na uasherati kwani Mungu alipo muumba Adam na kisha kumletea msaidizi wake Hawa na mbona hakumletea na Aisha na Ummy na Husna na Hadija? hakujua anachokifanya mpaka eti wanadamu tena wenye dhambi ndio waje wafanyie marekebisho...
Mnaodhani kuwa Bishop Gwajima atadai malipo yeyote juu ya kesi hii akishinda wala hana wazo hilo huyo ni Mtumishi wa Mungu hasa anazijua njia za Mungu waliomfanyia lolote wao wajiandae tu na Mungu kupokea ujira wao wala hakuna haja ya kuwaza/ kuhofu eti atafungua kesi ya madai la hasha...
Umeenda mbali huko kwenye matangazo ya vyoo kutegemea wahisani halafu watu humu wakijidai kuwa tutaweza kwa kutegemea wanyamapori, madini n.k, huu ni Uzuzu kwani hata vita tu ya kupambana na majangili kwa wanyama wetu tunategemea Wahisani, madini waamuzi wa bei ni hao hao wanaoitwa wahisani...
Pongezi lakini ina changmoto kubwa sana kwani ni barabara tano zilizosambamba bila kitenganishi cha kati kinachozungukwa na tofali maalum(kerbstones) ili kumsaidia mwenda kwa miguu kuvuka kwa usalama lkn hata kusaidia ajali za magari za uso kwa uso kwani tunaelewa madereva wetu naomba Tanroads...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.