Kwanini waruhusiwe kuoa wake wanne na sio waume wanne?

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
57,664
32,147
Sio mbaya kuuliza ndugu zangu mnaoruhusiwa kuoa wanawake wanne kwanini na wao wasirusiwe kuolewa na wanaume wanne.

Tufike wakati tuwe na usawa kidogo kama nyumbani tumefikia kuleta vyakula pamoja basi na huku sheria tuwe sawa.
 
Wanawake Wana Moyo Mgumu sanaaa.... Ila Wenye Chuki Sanaa Na Wivu usidhan hao wanawake Wanne Wana Raha Humo Ndani.. Kuna Mmoja huku Alishamtanguliza Mwenzake kwa Mungu Hivi Hivi. Tena Walikuwa Wawili tu



Hakuna Mwanamke anapenda hiyo Mambo ni Malazimisho tu ya Kidini..
 
1. Mtu mmoja anaweza kuingia choo zaidi ya kimoja asitoke na harufu mbaya. Choo kinachotumiwa na wengi nadhani unajua kinavyokuwa.

2. Dereva mmoja anaweza kuendesha gari zaidi ya moja bila ya yeye kukongoroka. Gari inayoendeshwa na wengi nadhani unajua inavyokuwa.

3. Nirahisi kuazimisha MCHI kuliko KINU, mchi ni rahisi kusafisha. Kinu usafishaji wake nadhani unajua. Usiombe uliemuazimisha akatwangia kisamvu, ukitia mchele ujue utatoka kijani.
 
1. Mtu mmoja anaweza kuingia choo zaidi ya kimoja asitoke na harufu mbaya. Choo kinachotumiwa na wengi nadhani unajua kinavyokuwa.

2. Dereva mmoja anaweza kuendesha gari zaidi ya moja bila ya yeye kukongoroka. Gari inayoendeshwa na wengi nadhani unajua inavyokuwa.

3. Nirahisi kuazimisha MCHI kuliko KINU, mchi ni rahisi kusafisha. Kinu usafishaji wake nadhani unajua. Usiombe uliemuazimisha akatwangia kisamvu, ukitia mchele ujue utatoka kijani.
Umamaliza kila kitu mkuu. Na ile makitu ilivyo, ukijua munashare, ni bora umpishe mwenye nguvu.
 
Kuna sababu kadhaa wa kadha
1: Maumbile ya mwanamke na mwanaume ni tofauti.
2: Mwanamke akifanya tendo la ndoa na wanaume tofauti tofauti, huchoka, hukongoroka, hupoteza mvuto wake n.k.
3: Kwa mwanamke nature yake itafikia kipindi atajifungua mtoto, utata juu ya kiumbe kitakachozaliwa utajitokeza, nani atakuwa baba halali wa mtoto n.k. Najua unaweza sema kuna DNA, ila mwenyewe utakuwa ni shahidi kwamba pamoja na kuwepo kwa DNA ishu ya kugombania watoto kwa wanaume ipo hata mtu akiambiwa si wake sometimes hung'ang'ania kuwa ni wake since alishawahi kujamiiana na mwanamke husika
4: Ni zawadi toka kwa Mungu, imekuja si kwa kulazimishwa kuwa lazima mwanaume aoe wake wanne, lakini pia kufanya hivyo kumewekewa masharti na masharti hayo lazima yatimizwe
5: Mungu ndie awajuae zaidi viumbe wake, hivyo kusema hivyo hakukosea
6: Kufanya maoenzi na wanaume wengi kiafya si nzuri kwa mwanamke kuna athari kubwa sana ya manii kuvunda, kujenga vishimo n.k katika utupu wa mwanamke. Hii ipo scientifically zake
7: Idadi ya wanawake kuwa kubwa kuliko wanaume. Ratio is not 1:1
8: Kuwasitiri wanawake wajane.
n.k

Hizo ni baadhi tu ya sababu.
 
Kuna sababu kadhaa wa kadha<br />1: Maumbile ya mwanamke na mwanaume ni tofauti.<br />2: Mwanamke akifanya tendo la ndoa na wanaume tofauti tofauti, huchoka, hukongoroka, hupoteza mvuto wake n.k.<br />3: Kwa mwanamke nature yake itafikia kipindi atajifungua mtoto, utata juu ya kiumbe kitakachozaliwa utajitokeza, nani atakuwa baba halali wa mtoto n.k. Najua unaweza sema kuna DNA, ila mwenyewe utakuwa ni shahidi kwamba pamoja na kuwepo kwa DNA ishu ya kugombania watoto kwa wanaume ipo hata mtu akiambiwa si wake sometimes hung'ang'ania kuwa ni wake since alishawahi kujamiiana na mwanamke husika<br />4: Ni zawadi toka kwa Mungu, imekuja si kwa kulazimishwa kuwa lazima mwanaume aoe wake wanne, lakini pia kufanya hivyo kumewekewa masharti na masharti hayo lazima yatimizwe<br />5: Mungu ndie awajuae zaidi viumbe wake, hivyo kusema hivyo hakukosea<br />6: Kufanya maoenzi na wanaume wengi kiafya si nzuri kwa mwanamke kuna athari kubwa sana ya manii kuvunda, kujenga vishimo n.k katika utupu wa mwanamke. Hii ipo scientifically zake<br />7: Idadi ya wanawake kuwa kubwa kuliko wanaume. Ratio is not 1:1<br />8: Kuwasitiri wanawake wajane.<br />n.k<br /><br />Hizo ni baadhi tu ya sababu.

Masha Allaah umejibu kwa hekma sana,
 
Socialization ilivyoanza binadamu walikuwa wanakula matunda na mizizi, hii ilipilekea binadamu kutokuwa na permanent settlement, kipindi hiki binadamu alikuwa primitive, wanaume na wanawake walifanya tendo la ndoa saa yeyote na mtu yeyote yule. Baadae ilikuja agricultural era, binadamu walianza kupanda nafaka na ufugaji ulianza watu walijikusanya na kuform jamii, kipindi hiki watu walianza kujenga nyumba, ndoa ilikuwa bado, mwanaume aliweka mkuki nje akiwa kwenye nyumba ya mwanamke kuashiria kuna mtu ndani na mwingine asiingie.

Kadiri maendeleo yalivyozidi wanaume walitaka kumiliki sasa basi katika kule kumiliki mwanaume akimmiliki mwanamke inamaana watoto wanaozaliwa ni wakwake. Hii ilipelekea mwanzo wa kulipa mahari na watu kufunga ndoa za kimila.
Wanaume walianza kumiliki ardhi, mifugo na mali, ikajulikana hii ni sehemu ya Fulani.
 
Kuna nchi zina utamaduni huu kama sikosei ni India huko mwanamke mmoja anaweza kuwa na mme zaidi ya mmoja Polyandry kama bado nakumbuka form 2.
 
Kuna nchi zina utamaduni huu kama sikosei ni India huko mwanamke mmoja anaweza kuwa na mme zaidi ya mmoja Polyandry kama bado nakumbuka form 2.
Hapana manuu India huwa mwanamke ndie anaoa NA ndie anatoa mahari sijajua ktk kusex nayeye anafanywa ama anafamya lakini KWA mume mmoja
 
Sio mbaya kuuliza ndugu zangu mnaoruhusiwa kuoa wanawake wanne kwanini na wao wasirusiwe kuolewa na wanaume wanne.

Tufike wakati tuwe na usawa kidogo kama nyumbani tumefikia kuleta vyakula pamoja basi na huku sheria tuwe sawa.
huku ni kukosa cha kuandika, waachie wenye dini yao,kama ni usawa tungepokezena kuzaa pia...
 
Ni ushetani tu ulioitiwa ni taratibu za kidini ili kutetea uzinzi na uasherati kwani Mungu alipo muumba Adam na kisha kumletea msaidizi wake Hawa na mbona hakumletea na Aisha na Ummy na Husna na Hadija? hakujua anachokifanya mpaka eti wanadamu tena wenye dhambi ndio waje wafanyie marekebisho acheni ujinga wenu hapa Mume mmoja kwa Mke mmoja mengine ni Ushetani hata uuvishe nini!
 
Back
Top Bottom