Recent content by mulenda's

  1. mulenda's

    Mwakyembe, mburuze mahakamani Lowassa kesi ya Richmond

    We mdanganye unataka kummaliza kabisa kisiasa.
  2. mulenda's

    Nyumba za NHC hapa mjini kwanini Serikali isiweke sheria wakapangishwa Walimu Madaktari na M-nurse

    Mtatupiwa majini na wados hamta kaa kwa nyumba hizo ng'o!!? Chezea wados siyo!!?.
  3. mulenda's

    Msaada kuhusu apps ya ,,,MOBILE CHEATER SPY.

    Mie mwenyewe sina imani nayo na siamini kama kuna ukweli ktk hiyo issue ya TCRA kwa kuwa ni nje ya haki za binadamu, ninavyo jua kwa upande wangu kuhark sisyo kihivyo hadharani sasa hii nchi yetu itakuwa yakihuni, Ziko Apps nyingi hata mm ninayo na iko free na ninapata kila kitu kupitia...
  4. mulenda's

    UKAWA wabadili gia angani, Rais Magufuli kutohutubia bunge

    Watu wengine humu bana eti walete ushahidi wa ushindi wao ndo maana masaburi anatukanaga watu hata katiba inayotuburuza hamuijui!.
  5. mulenda's

    WanaCCM mmemsikia Dr. Masaburi?

    Malipo ni hapa hapa
  6. mulenda's

    Mpasuko CCM, Kingunge, Nchimbi na Mwandosya kutimka

    Tunawakaribisha sana lkn wanapokuja huku wajue mapema kuwa huku mifumo ni tofauti kabisa:eek:
  7. mulenda's

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    What we need ni CHANGES asiyekubaliana na sisi ahame tu, namkumbuka Fid Q "Mmoja anaingia mmoja anatoka"
  8. mulenda's

    Kauli ya Mwapachu Kuhusu Lowassa

    L✌wasa ndo presida acheni watu wahangaike tu Mungu alimpa nafasi hiyo toka enzi na enzi.
Back
Top Bottom