Hata Mimi. Linanipa kizungumkuti.. Maana hata mimi niliitwa kwenye tangazo lao la 9/12/2017 tangazo la 13/12/2017 jina langu halipo.. Sijielewi hadi saivi.. Nahisi kukata tamaa ya kwenda
Naongelea zile zilizotangazwa na Utumishi , Na siyo zile za kwenye halmashauri, na kama wameshaajiri ni lini waliita interview? Mbona watendaji Wa kata III Na afsa maendeleo wameitwa leo kwenye usaili? Na zote zilitangazwa siku moja na utumishi .. Ikiwa wameshaajiri basi hii itakuwa kali kuliko..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.