Natafuta msichana wa kazi za ndani

Natafuta msichana wa kazi za ndani

sixhood

New Member
Joined
Dec 9, 2017
Posts
1
Reaction score
2
Habari wadau
Natafuta dada wa kazi za nyumban
Awe na umri kati ya miaka 18-25 Awe mwaminifu na mchapa kazi
Awe anajua kazi zote za nyumban
Maana mm ni bachelor
Ila naishi na wadogo zangu
Kazi kubwa n kufua kupika na usafi wa nyumban
Mimi nipo kigamboni dar es salam
Mshahara maelewano
Namba zangu 0718424184
[HASHTAG]#jumapiliNjema[/HASHTAG]
 
Habari wadau
Natafuta dada wa kazi za nyumban
Awe na umri kati ya miaka 18-25 Awe mwaminifu na mchapa kazi
Awe anajua kazi zote za nyumban
Maana mm ni bachelor
Ila naishi na wadogo zangu
Kazi kubwa n kufua kupika na usafi wa nyumban
Mimi nipo kigamboni dar es salam
Mshahara maelewano
Namba zangu 0718424184
[HASHTAG]#jumapiliNjema[/HASHTAG]
Umeshampata
 
Habari wadau
Natafuta dada wa kazi za nyumban
Awe na umri kati ya miaka 18-25 Awe mwaminifu na mchapa kazi
Awe anajua kazi zote za nyumban
Maana mm ni bachelor
Ila naishi na wadogo zangu
Kazi kubwa n kufua kupika na usafi wa nyumban
Mimi nipo kigamboni dar es salam
Mshahara maelewano
Namba zangu 0718424184
[HASHTAG]#jumapiliNjema[/HASHTAG]
Vipi umeshapata? Kuna mdogo Wangu anataka. Kama bado sema nikupe namba yake uwasiliane naye. Age yake 26
 
Mimi pia nahitaji house girl, asiwe mkubwa sana asije hatarisha mahusiano ya hapa home. Nina mtoto mmoja mchanga.
 
mimi natafuta msichana anaeweza kumlea mgonjwa sina mtoto mdogo hapa kazi za kawaida za nyumbani na kumwangalia mgonjwa(mama yangu kama yupo
nitumie msg (pm)
 
Mimi pia nahitaji house girl, asiwe mkubwa sana asije hatarisha mahusiano ya hapa home. Nina mtoto mmoja mchanga.
Mkubwa sana kiumri au kiumbo? Yupo mdogo ana 24yrs old
 
Mkuu enenda nawakati
nunua mashine za kufua ...
hao wadogo zako wataftie cha kufanya wasikae tu.
Ukipunguza familia uhitaji mfanyakazi wa ndani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom