Recent content by mukulu binadamu

  1. mukulu binadamu

    Natamani nimlipue huyu Mrembo, alinidhalilisha sana

    Kweli nyimbo za mashairi ya mapenzi zitaendelea kuuza sana
  2. mukulu binadamu

    Tuliokuwepo enzi za utawala wa Ali H Mwinyi tukutane hapa!

    Nilifunga bar kwa kununua vinywaji vyote na watu walisherekea
  3. mukulu binadamu

    Madhara ya vyuma kukaza: Nimeingiliwa na wezi nyumbani na kuibiwa vitu vyangu

    Na huku tandale kwa tumbo wanabeba mpaka sufuria uliyopikia ugali
  4. mukulu binadamu

    Puma Petrol station ya Mbezi beach Africana acheni wizi wa mafuta

    Imekuaje mkuu walikuminyia hewa.siku nyingine weka gari pembeni toa kidumu wajaze hakuna namna hapo
  5. mukulu binadamu

    Mapenzi yananitesa: Mpenzi wangu anapenda sana kununa

    Mchunguze vizuri mkuu yawezekana mwezi mchanga ikitoka mbalamwezi tu analianzisha
  6. mukulu binadamu

    Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

    Mkuu mpaka uone punye
  7. mukulu binadamu

    Ndoa ina changamoto zisizoisha

    Simu ya mwanaume ni kama kuangalia kitunguu maji pindi ukikatapo machozi hayatakuacha kukutoka.
  8. mukulu binadamu

    Mbege zinakondesha miguu

    Nimecheka kwa sauti daah
  9. mukulu binadamu

    Makanisa mpunguze michango jamani. Hasa RC, kuna nini siku hizi?

    Wanafika mbali mpk kusema hatutakuzika ukifa.kweli...
  10. mukulu binadamu

    Makanisa mpunguze michango jamani. Hasa RC, kuna nini siku hizi?

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] umenifurahisha sana wamekunyonyoa
  11. mukulu binadamu

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Kila kijazacho dunia ni mali ya mungu.pesa,dhahabu nk ni vyake.mtu wa mungu hapati shida katika haya .sasa hawa TRA wanakurupuka ama kweli ukiliruhusu tumbo litawale kichwa kila siku ni mwendo wa kujidhalilisha
  12. mukulu binadamu

    Wanawake usije ukajisifu eti kisa unatongozwa mwaka mzima, hebu wajue wanaume hapa!

    Mimi nilijua tu huu uzi jinsia ya kike itatoa povu la kufulia gwanda la gereji tuendele kufuatilia tu
Back
Top Bottom