Kiwanja kina ukubwa wa mita 25 kwa 40,kinafikika kwa gari bila wasiwasi, barabara inapita mbele ya kiwanja, nguzo ya umeme imesimikwa jirani kabisa na kiwanja,kipo kwenye maeneo ya makazi ya watu yaani wapo majirani walioshajenga na kuhamia, utakuwa jirani na stendi mpya ya mkoa itakayohamishwa...