Duh kaka shikamoo!leo nimefirahi sana na hili somo na nimegundua nna hyo telepathy inshort maisha yangu yote huwa ninakuwa na nimtakae aisee naanza kufanyia kazi somo la leo
Big up mhaya wangu kakataa katukatu japokuwa alikuwa mchangaji mzuri yetu haina michango ila watu 50 wenye bahati watajumuika nasi kwa dinner,kuchangisha ni lawama kwanza inabidi ujitahidi kuwaridhisha wageni wachangaji(japo ni ngumu)ila kama hujamchangisha mtu ukamuita aje ajumuike nawe labda...
Ni kweli kuna kasintofahamu flan kwenye hizo kazi maana hata waliorekodi vipindi walitakiwa kulipwa ila kimya nao hawajui
ila azam tv wameingia mkataba na leo media production ndo wanahusika na utengenezwaj wa vipindi vyote na bosi tayar ni mkenya
mida ya saa tatu japo sometymez nasahaug kuangalia ila this week nikikumbuka ntakujulisha hapahapa,pia kule wanatafta vipaji mbalimbali sio kuimba tu kama ebss au tpf6
hahahaaa ila kuna rafiki yangu kapata kazi ashaanza kurekodi kipindi cha reggae usaili aliitwa maeneo ya kwa mwalimu,ila sjui tangazo la kazi aliliona wapi ntamuomba maelezo halaf ntawawekea hapa muombe
Duh kama ni kweli hali ni mbaya ila hao TBC habar hiyo wameitoa wapi?Sikumbuki kuona mwandishi wa TBc kwenye tukio jingine wale waliokuwa wanashambuliana ni wanajeshi wa kenya wenyewe kwa wenyewe au ndo mambo ya teknolojia al shabab waliwazidi maarifa?
Mimi nlikuwa nadeki akajipitisha halaf mvua tope sasa jekunduu la moshi nikaroweka dekio vizuurii halaf nikamuwasha la mgongoni mwenyewe ashaulambia aende church yupo form 4 mi nipo form 2 yani aliliaaaa
kwanza nimesikitika,pili nikacheka tatu najiuliza hivi wanawake huwa wanadhalilishwa au wanajidhalilisha mara nyingi kuliko wanazodhalilishwa?????????????:embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1::embarrassed1:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.