Recent content by muke ya mtu

  1. muke ya mtu

    Majibu ya ACT-Wazalendo kwa hoja za Tundu Lissu

    Huyo tundu mropokaji sana. Atakuwa na tatizo la mental health.
  2. muke ya mtu

    Ushauri wangu kwa ACT Wazalendo na Maalim Seif

    Kwa nilivyomuona na kumsikia Maalimu Seif jana kwenye chombo cha habari ni dhahiri kuna uwezekano mkubwa wa kukubali
  3. muke ya mtu

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

    Huyo Zitto mwenye pesa mbona husemi kama alitoa ahadi 2015 kwamba akishinda ubunge na kupata Meya wa mji kupitia ACT atawalipia ada wanafunzi wote waliochaguliwa kwenda A-level ndani ya shule za mkoa wa Kigoma, lakin hakutimiza ivo?? Sasa ajue hilo ni moja kati ya yalimpotezea ubunge, pia...
  4. muke ya mtu

    Nimweleze mama kuhusu huyu best friend wake?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona kajibu saaana, au huoni mkuu Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  5. muke ya mtu

    GE2020 Polepole: CHADEMA walichapisha kura feki ili kuvuruga Uchaguzi Mkuu

    Chadema acheni michezo ya kitoto. Mtu kama Msigwa alishajua hawezi shinda mapema saaaana ndo maana alianza kutukana wapiga kura. Pia wala halalamiki kuibiwa kura yuko fresh anaonekana hapa town kwake. Eti Mbowe analalamika, wakati tuliona before anazomea na wananchi wa Hai hadi akahairisha...
  6. muke ya mtu

    Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

    Maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa bro. Atakuwa amekuwa akishinda ndotoni sio kwenye box la kura. Msiongee kwa maneno kwamba kila mwaka anashinda bila ushahidi?? Anang'ang'ania uongozi sababu hataki kuwaachia vijana hyo nafasi yake. Wapiga kura tukiona sura ya mtu yuleyule muda wote obvious...
  7. muke ya mtu

    GE2020 Aliyoyatamka kwenye kampeni yote yametimia, kwanini asiapishwe?

    Hahahahah Mbowe alisema anajiandaa kuwa Prime Minister[emoji3][emoji3][emoji3]. Wapinzani wa nchi hii; kura hawapigi lakin vilio vingi. Sisi wana CCM kura tumepiga za kutosha[emoji172][emoji172][emoji172] Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  8. muke ya mtu

    Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

    InshAllah. Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  9. muke ya mtu

    Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

    Mungu anampatia mwenye haki haki yake. We unajuaje kama maalimu Seif akiwa mtawala atakuwa mtenda haki na pia unajua kwa nn anang'ang'ania madaraka?? Huku kuswali tahajjudi hata Wana CCM wanafanya. Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  10. muke ya mtu

    Ushauri wangu kwa Lissu baada ya Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kutangazwa

    Acha roho mbaya kisa mahaba yako ya kijinga kwa mabeberu. Tanzania sio ya Chadema wala CCM pekee ni ya Watanzania. Huwezi kuichafua nchi ya watu almost 60 mil kisa mtu mmoja. Tanzania kwanza Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
  11. muke ya mtu

    GE2020 Dkt. Magufuli akishinda, Afrika imeshinda

    [emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172]
  12. muke ya mtu

    GE2020 Tarehe 29 ni Kijani na Njano, kushoto, kulia, juu na chini

    Hatuchagui mabeberu na vibaraka wake sisi. Tumeamua Magufuli5 tena[emoji172][emoji172]
  13. muke ya mtu

    Makundi yafuatayo yanategemewa kumpigia kura mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu

    Haya yote yatapimwa kwa idadi ya madiwani na wabunge watakaotokana na upinzani
Back
Top Bottom