Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,090
- Thread starter
- #21
Zipo roho za watu takriban 10 zimeondolewa bia hatia huko Zanzibar,Uzuri wa Mungu sio mwanadamu maombi ya wenye hila ni kelele mbele zake
kisha wakafanya dhulma kubwa ya udanganyifu katika kura.
Wewe umeona wapi Hussein Mwinyi ashinde Zanzibar wa 76%