Zanzibar 2020 Wazanzibar nguvu yenu Dua, amkeni usiku Tahajjud mumshitakie Mwenyezi Mungu

Hakuna kitu kama hicho. ,Zanzibar hii hii iliyojaa uchafu

Toka mwaka 1995 wanaibiwa kura , wangeshafanya hivo, ndio waje wafanye leo, walishindwa 2015 Jecha alipofuta matokeo ,ije Leo ? Watasahau maisha yataendelea

Walishindwa kumpiga Albadiri Jecha Salumu , kadunda hadi kastaafu na kaja kugombea kupitia CCM
Albadiri ndio nini ?
 
Hamna lolote. Ingekuwa inafanya kazi kuna mataifa yasingekuwepo duniani kuna watu wangekuwa wamekufa saaaaaaaanaaaaaa... Siyo kidogo.yaani wangekuwa wamekufa na kufa tena na tena.

Wazanzibar mnaodhulumiwa, enyi mnaoonewa, mtume Muhammad alishafundisha, silaha ya muumini ni dua!. Amkeni usiku, Tajeni lile jina kuu la Mwenyezi Mungu ambalo mtume alifundisha kuwa ukiomba kwalo Mungu anajibu

Amkeni usiku mswali Tahajjud, mumlilie Mwenyezi Mungu kwa dhulma hii mnayofanyiwa. Fanyeni visomo. Hamuhitaji Sheikh wa kuwaongoza, ewe Mzanzibar mmoja mmoja, amkeni usiku mlilieni Mungu. Fanyeni hivyo mfululizo kila siku kadri ya utakavyoweza, atakayeweza siku 90 na afanye, asiyeweza hizo basi hata kama ni siku moja au mbili, au tatu na kadhalika basi afanye!

Nyie hamna bunduki, hamna risasi, hata mgekuwa navyo hakuna silaha yenye nguvu kushinda dua, na wakati mzuri wa dua ni kuamka usiku na kumlilia Mungu, fanyeni hivyo

Mshitakieni Mungu juu ya waliowatendea dhulma za wazi, katika dua tajeni Majina ya mnaowajua katika dhulma na mateso haya.

Kisha baada ya hapo kuweni na Subira kisha mje muone majibu ya Mwenyezi Mungu. Allah amesema katika dua ambazo huzijibu ni dua za aliyedhulumiwa!.

Fanyeni visomo enyi Wazanzibar, kila mtu kwa uwezo na nafasi yake!
 
Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....

Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu

Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu

Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake

Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli

Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!

Hivi tumeisahau aya hii

وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ

NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........

SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!

Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!


Embu Msikilize Omar Ibn Khataab

anasema

إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .

HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM

VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..

SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!

Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi

Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya

Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa

Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata

Hivi hata aibu huna na huo unafiki wako? Muislamu gani timamu anashabikia CCM?
 
Wazanzibar mnaodhulumiwa, enyi mnaoonewa, mtume Muhammad alishafundisha, silaha ya muumini ni dua!. Amkeni usiku, Tajeni lile jina kuu la Mwenyezi Mungu ambalo mtume alifundisha kuwa ukiomba kwalo Mungu anajibu

Amkeni usiku mswali Tahajjud, mumlilie Mwenyezi Mungu kwa dhulma hii mnayofanyiwa. Fanyeni visomo. Hamuhitaji Sheikh wa kuwaongoza, ewe Mzanzibar mmoja mmoja, amkeni usiku mlilieni Mungu. Fanyeni hivyo mfululizo kila siku kadri ya utakavyoweza, atakayeweza siku 90 na afanye, asiyeweza hizo basi hata kama ni siku moja au mbili, au tatu na kadhalika basi afanye!

Nyie hamna bunduki, hamna risasi, hata mgekuwa navyo hakuna silaha yenye nguvu kushinda dua, na wakati mzuri wa dua ni kuamka usiku na kumlilia Mungu, fanyeni hivyo

Mshitakieni Mungu juu ya waliowatendea dhulma za wazi, katika dua tajeni Majina ya mnaowajua katika dhulma na mateso haya.

Kisha baada ya hapo kuweni na Subira kisha mje muone majibu ya Mwenyezi Mungu. Allah amesema katika dua ambazo huzijibu ni dua za aliyedhulumiwa!.

Fanyeni visomo enyi Wazanzibar, kila mtu kwa uwezo na nafasi yake!
Very good idea
 
Img-1604041916336.jpg
 
Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....

Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu

Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu

Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake

Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli

Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!

Hivi tumeisahau aya hii

وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ

NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........

SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!

Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!


Embu Msikilize Omar Ibn Khataab

anasema

إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .

HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM

VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..

SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!

Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi

Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya

Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa

Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata
Dua ya aliyedhulumiwa haina pazia!
 
Unamkumbuka vile vile Hajjaj Ibn Yusuf Ath-Thaqaani?

Alikuwa ni gavana huyu wa dola ya Kiislamu. Lakini alikuwa ni mmwagaji damu mkubwa! Kachinja sana waislam na wasio waislam. Aliivamia mpaka masjidi haraam ya Makka na kuiharibu. Maeneo aliyovamia na Umma kipindi hicho ulikuwa na wana wa zuoni wakubwa! Ulikuwa na maswhaba pia na Tabiina, ni zama za watu wema.

Ikiwa kama utaihukumu Zanzibar kuwa haifuati Usilam stahiki na kuwa dhahma inayowakuta ni kwa hilo je, vipi zama za Hajjaj Ibn Yusuf Ath-Thaqaani? Waislam wa zama hizo walimkosea nini Mungu? Hajjaj amechinja wana wazuoni wakubwa wa umma wa kislam. Nao walimkosea nini? Na zama hizo Nabiyyuna alisema ni zama bora!


Aliloshauri Missile of the Nation ni zuri! Dua ni ibada na kama ni ibada ina taratibu na Habibinaa Mtume Muhamma s.a.w ameshasema "Dua ya aliyedhulumiwa haina pazia". Usiwakatishe watu tamaa kwenye rehma ya Mungu.

Maandamano ni ikhtilaf kwa wanawazuoni. Wapo wanaopinga na kutoa dalili zao na wapo wanaikubali kwa kutoa dalili zao. Kwa hilo kila mtu atafanya lisilomtia shaka na ataacha linalomtia shaka.

Demokrasia ni utaratibu wa kisheria kwa wasio na sheria. Sisi Waislam tuna utaratibu wetu tuna sheria zetu. Licha ya hivyo tunaishi kwenye nchi isiyofungamana na dini ya upande wowote, ina taratibu zake zinazofungamana na watu wa itikadi zote. Hawakuzii kutimiza nguzo zako za Uislam wala nguzo zako za Imani na wala huzuiliwi kutenda mema kufika daraja ya uchamungu.

Kuhusu suala la Mikataba Mtume aliingia na kuheshimu mkataba na mliokubaliana nao ni suala tulilotakiwa Waislamu tuliheshimu. Mafungamano ya mkataba wanaoidai wa Zanzibar ni yamewekwa kwa mfumo wa Katiba ya kwamba maamuzi ya raia ya kumchagua kiongozi wamtakaye aliyechaguliwa kwa taratibu iliyowekwa yaheshimiwe. Maamuzi yao yamevunjwa! Kwa lugha nyengine wamedhulumiwa kile kilicho haki yao! Je, wasidai haki yao!?

Bw. Missile of the Nation ameshauri basi mlilieni Mungu nalo unaliona kosa? Pengine hili aliloshauri ndiyo linaweza likawa asbab ya wao kumrudia Mungu kindaki ndaki.
 
Hamna lolote. Ingekuwa inafanya kazi kuna mataifa yasingekuwepo duniani kuna watu wangekuwa wamekufa saaaaaaaanaaaaaa... Siyo kidogo.yaani wangekuwa wamekufa na kufa tena na tena.
Ndiyo maana ya kuwepo kwa pepo na moto. Laiti hayo mataifa yasingelikuwepo kungeli kuwa na maana gani ya kuwepo hivyo?
 
Ona hili kenge.... wangekaa Ndan kwao wangeguswa??!

Si nyege mshindo zimewaponza
Msimamo wangu ni mmoja tu, ni haki!

Siangalii utaifa, udini, rangi ya mtu au ukabila. Au awe mtu wa namna yoyote atakavyokuwa, itakapothibiti kwa vipimo vyangu kuwa hii ni haki yake anapaswa apewe basi nitasimama nae. Sitojali anayetenda hiyo dhulma awe mtu wangu wa karibu au ni nani! Mimi nitasimama na aliyedhulumiwa. Labda vije vipimo vyengine vilivyothibiti na kubadili vipimo vya awali.

Kilichofanyika Zanzibar ni dhulma! Na kilichofanyika Tanganyika ni dhulma. Na aliyefanyiwa dhulma ni haki yake kuidai. Kama anavyosema Malcolm X by any means necessary.

Huo ndio msimamo wangu.
 
Mungu anampatia mwenye haki haki yake.
We unajuaje kama maalimu Seif akiwa mtawala atakuwa mtenda haki na pia unajua kwa nn anang'ang'ania madaraka??
Huku kuswali tahajjudi hata Wana CCM wanafanya.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Sifahamu ni vipi Seif ang'ang'ania madaraka, wakati wazanzibari wanamchangua awe kiongozi wao badala yake kigurupu kidogo kikisaidiwa na watanganyika kikifanya mapinduzi.

By the way, CCM hawajahi kushinda uchaguzi si leo pekee tokea kwenye historia. Ulifanyika uchaguzi kabla ya uhuru wakashindwa, wakasaidiwa na Nyerere kutoka Tanganyika kupindua. Mara pekee Zanzibar wameshinda uchaguzi ni wakati wa chama kimoja.

Haya basi mshashinda, leteni ayo maendeleo tuyaone!
 
Back
Top Bottom