Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Haohao waajiitao WANAMAPINDUZI DAIMA NDIO WAMEIFIKISHA ZANZIBAR HAPO.Chief
Kwani Allah hakutuwekea utaratibu wa maisha....mpaka leo tunatafuta nguvu kupitia utaratibu uliowekwa na Binaadam ....
Chief
Zanzibar ya leo,Mashoga ndio nambari 1 kwa Tanzania
Zanzibar leo,Madawa ndio soko kuu
Tumeacha mafundisho ya Mola wetu
Tumeacha mafundisho ya Mtume wetu
Tukaona yamepitwa na wakati
Tukaikumbatia Dunia na Watoto wake
Kwa haya na mengine meeengi
Hivi nusra ya Allah,itakuja kweli
Hivi!unasemaje,ikiwa haya matatizo,ni adhabu itokayo kwake....kwa makosa tuliyoyafanya na tunayoyafanya...!!!
Hivi tumeisahau aya hii
وَأَنَّ هَذَا صِرَاطِي مُسْتَقِيمًا فَاتَّبِعُوهُ وَلا تَتَّبِعُوا السُّبُلَ فَتَفَرَّقَ بِكُمْ عَنْ سَبِيلِهِ
NA HAKIKA HII NDIO NJIA YANGU ILIYO NYOOKA,BASI IFUATENI,NA WALA MSIFUATE NJIA(NYENGINE),MKATOFAUTIANA(MKAPOTEA)NA NJIA YANGU.........
SWALI
Hivi,Njia ya Mtume wa Allah,ni Demokrasia na Maandamano......?!!!
Na njia zipi hizo,tukizifuata,tutapotea na kuachana na njia ya Mtume wetu صلى الله عليه وسلم....?!!!
Embu Msikilize Omar Ibn Khataab
anasema
إنا كنا أذل قوم فأعزنا الله بالإسلام فمهما نطلب العزة بغير ما أعزنا الله به أذلنا الله .
HAKIKA YA SISI,TULIKUWA WATU MADHALILI MNO,ALLAH AKATUPA UTUKUFU KUPITIA UISLAM
VYOVYOTE VILE,TUKITAFUTA UKUKUFU KINYUME NA NJIA TULIYOTUKUZWA NAYO(KINYUME NA UISLAM),BASI ALLAH ATATUDHALILISHA..
SWALI
Sisi tunafuata Uislam kweli....?!
au
Sisi tunafuata matamanio ya nafsi zetu?!!!
Turuduni kwa Allah kwa kufuata Uislam Sahihi
Tuachane na ujanja ujanja huu tunaoufanya
Kinyume na hivyo
Tutatadhibiwa kila siku,huku tukipiga kelele
Tutaadhibiwa kila siku,huku tukiomba Dua asubuhi na jioni,bila ya kujibiwa
Tunamuomba Allah atuonyeshe njia ya sawa,na atupe nguvu ya kuifuata
Ole wao wanaojiunga na waovu...