Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Acha hasira,wananchi tulishawachoka.Ngoja nikuambie kitu bwana mdogo.
Ni WAPUMBAVU NA MATAHIRA KAMA WEWE AMBAO WANAWEZA KUKUBALIANA NA HUUU UPUMBAVU WA CCM.
Acha hasira,wananchi tulishawachoka.Ngoja nikuambie kitu bwana mdogo.
Ni WAPUMBAVU NA MATAHIRA KAMA WEWE AMBAO WANAWEZA KUKUBALIANA NA HUUU UPUMBAVU WA CCM.
Mhuri wa Moto?! Hata wa ikulu unapatikana...kuhusu kuingia barabarani hizo ni story tu hakuna wa kuingia road,tupumzishane tafadhali acheni mshindi afanye kazi.Chadema walitoa wapi mihuli yamoto inayopatikana NEC?. Nakama nikweli kwa nini waliokamatwa police haikuwachukulia hatua hata kama ni CHADEMA wenyewe, na je kwa nini mwenyekiti wa tume alisema hakuna kura fake zilizokamtwa?.
Tukutane kesho tarehe 2 barabarani, hii ninchi yetu sote, nawala si ya ccm peke yao.
Sawa, Mungu akubariki.Mwananchi kama wee, Kuna mawili
Ulizaliwa bahat mbaya.
Wazaz wako walijarib kutoa mimba yako ikashindikana
Mwisho ukapatikana mdudu kama wewe.
Hujui kuwa karatasi zingine za kura zilikabidhiwa kwa Polisi?Lakini maneno yake kama vile kweli
Chadema walitoa wapi mihuli yamoto inayopatikana NEC?. Nakama nikweli kwa nini waliokamatwa police haikuwachukulia hatua hata kama ni CHADEMA wenyewe, na je kwa nini mwenyekiti wa tume alisema hakuna kura fake zilizokamtwa?.
Tukutane kesho tarehe 2 barabarani, hii ninchi yetu sote, nawala si ya ccm peke yao.
Ukishazikamata nje ya chumba zinaingiaje tena kwenye box la kura? Kuna mistake ilifanyika hapa!Zilichomwa ili zisiingizwe kwenye maboksi ya kura.Aache upuuzi
Stupidity comedian Mr. Polepole.
Hivi amesahau kuwa polisi ndio waliokuwa wakiwalinda hao vijana waliobebeshwa kura feki za Jiwe pindi walipotaka kuchomwa moto!!!
Halafu CHADEMA wakawapa polisi wakazipeleka kwenye vituo vya kupigia kura?!Nia ni kuvuruga uchaguzi na kudanganya wananchi kuwa Ccm imeiba. Ndio maana mliweka tick kwa wagombea wa Ccm.
Shangaa la wwHalafu Chadema wakawapa polisi wakazipeleka kwenye vituo vya kupigia kura?!
Kama ni kweli hizo kura zilichapishwa na chadema, kwanini polisi walikuwa wanawalinda na kuwatetea waliokuwa wamezibeba? Kwanini mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alijitokeza na kuwaambia wananchi wapuuze hizo tuhuma za kuwa kuna kura fake wakati akijua kuwa chadema wamechapisha kura fake?Mhuri wa Moto?! Hata wa ikulu unapatikana...kuhusu kuingia barabarani hizo ni story tu hakuna wa kuingia road,tupumzishane tafadhali acheni mshindi afanye kazi.
Namzidi miaka 5 baba yako.
Mgetunza ushahidi ili muende mahakamani acheni uzushi.Zilichomwa ili zisiingizwe kwenye maboksi ya kura.Aache upuuzi
Kuuliza miaka ya mtu nayo nihoja?. Hizo ndio akili zakina kibajaji.Aha haaa
😛😛😛
Hizi akili ndizo ambazo zinafanya upinzani kushindwa.
Sera ya matusi, badala ya kujikita na kujielekeza kwenye hoja.