Nadhani ni mda wa kutumia vyombo vya nje inabidi tuichafue tanzania haswa tuwekewe vikwazo kama zimbabwe na nchi nyingine si tuna uwezo wa kujitegemea, afu naomba huyu mtu aongeze kodi mara dufu tuone hawa watanzia watalia lia kona zipi, mpaka hela za kununua ARVs zikosekane
Hela za kununua Arv zikikosekana ama vikwazo. Watakufa maskini. Magu yeye na ndugu zake hawatakosa hela.