Recent content by mukamis

  1. M

    Mgomo wa wafanyakazi wanukia makao makuu ya CHADEMA

    kuna watu wamesomea propaganda, kama huyu anayejiita 'kitaeleweka' anastahili kupewa nafasi ya kuwa makamu wa Nape
  2. M

    Hivi Watanzania ni wajinga kiasi hiki?

    Huu mkakati waendelee nao tu CCM kwani wanawarahisisia kazi wapinzani, itakuwa rahisi kuwabomoa CCM kwa kutumia maneno yao wenyewe kwa ufupi CCM kwa kupitia kinana, Nape na Mwigulu wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe
  3. M

    Chama cha Kilaghai Tanzania...

    Hongera sana kwa uchambuzi wako wa kina kuhusu Chadema. Ni dhahiri kuwa unaijua siasa ya Tanzania vizuri sana. Ninakuomba sasa udhihirishe umahiri wako kwa kuichambua pia CCM huku ukijikita katika ufisadi, udini, maadili ya uongozi, wizi wa maliasili - Meno ya tembo, kusafirisha wanyama hai nje...
  4. M

    Said Issa Mohammed: Wanaosema Dr.Slaa alikuwa Padri, Mimi ni Imamu mpaka sasa!

    Mimi kitu kinachonishangaza ni kuwa kila kiongozi wa Chadema ni JEMBE. Sikudhani kuwa Bwana Said Issa mohamed ni mchambuzi mzuri wa siasa za Tanzania hata kumzidi Mnyika! Kutokana na umahiri wake katika kupambanua fitina ya Udini ndani ya Chadema, kwa kweli CCM watafute fitina nyingine...Hongera...
  5. M

    Wanademokrasia popote mlipo tembeeni vifua mbele, wahafidhina wameanza sisi tutamaliza kabisa

    Hizi ni kelele za mfa maji, mnasumbuliwa na umaskini wenu tu - hebu tuambieni hizo hela mtazitoa wapi za kuzunguka nchi nzima kama sio kufadhiliwa na hao wauza unga ambao kwa vyovyote vile hawako tayari kuona CCM ikitupwa nje ya Ikulu. Kama kuunga mkono upumbavu ndo kuwa msomi basi hii nchi...
  6. M

    All about love...,game tamu huchukua dakika tatu hadi 13 tu..,,,

    Game safi ni pale mwanamke mwenyewe anapokuambia basi imetosha, nimechoka na ukimwachia anahitimisha kwa kusema asante sana. Naam anakuwa ameridhika kwani anakuwa ameishakojoa kama mara 20 na wewe unamalizia na kamoja tu....si vinginevyo. Mapenzi ya dakika 3 hadi 15 sio kabisa huko ni kupapasana tu.
  7. M

    Dr. Slaa: CHADEMA tukiingia Ikulu tutapiga mnada ndege ya Rais

    Bwana 'Sumbukeni' kama lilivyo jina lako sitaki kusumbuka kujua upungufu wako wa akili ni wa kiwango gani kwani sentensi yako kuwa ' sio kila kitu kinachonunuliwa na serikali ni mali ya serikali'!!!! inatosha kabisa kutathmini Division Five yako.
  8. M

    Waziri wa Fedha amjibu Prof. Lipumba

    Tusimlaumu sana Rais Kikwete kwa kumteua huyu mama kwa sababu kuu mbili 1. katiba ya sasa inamruhusu kuteua hata aliye darasa la saba kuwa waziri 2. CCM imefilisika, haina tena watu wanaofaa kushika nyadhifa za uwaziri ndo maana mtu kama Mwigulu eti naye kapewa unaibu. kwa kweli nchi hii CCM...
  9. M

    Dr. Slaa: CHADEMA tukiingia Ikulu tutapiga mnada ndege ya Rais

    Gharama ya kuikomboa nchi na kuendesha serikali baada ya ukombozi kupatikana ni mambo mawili tofauti kabisa. Mfano mzuri ni Rwanda kwani Kagame alitumia sana chopa wakati wa mapambano ya ukombozi wa Rwanda lakini baada ya kuikomboa Rwanda, kipindi hiki anasafiri kwa gari huku nchi yake ikiwa na...
  10. M

    Lowassa kuendesha harambee kubwa kuwezesha kila kijana Dar kumiliki bodaboda!

    Tatizo la vijana wa nchi hii sio kumiliki bodaboda bali ni elimu na kupatikana kwa ajira. Mimi sikubaliani na hiyo harambee ya kuwamilikisha pikipiki vijana wetu kwani ni kuwapotosha bali kama kweli Lowassa ana nia nzuri na nchi yetu basi afanye harambee ya kujenga shule za kisasa zenye maabara...
  11. M

    Baraza la Mawaziri: Nani atoke, Nani abaki, Nani aingie?

    Hii vunja vunja ya baraza la mawaziri imekuwa 'too much'. Isitoshe lawama juu ya utendaji kazi wa serikali hii ya CCM zimezidi na ni aibu. Ili kuondokana na hali hii namshauri Rais Kikwete aweke utaifa mbele na aachane na uchama kwani yeye sio rais wa CCM bali ni Rais wa Taifa la Tanzania. Kwa...
  12. M

    Kakobe: Acheni Siasa za Chumbani, Siasa za Haramu

    Wewe 'kazitunayo' ulipata divisheni five shuleni!!!!
  13. M

    Huu ndiyo ukweli unaofichwa juu ya Diwani Clementi Mabina aliyeuawa na wananchi Kisesa,Mwanza

    Nchi hii tulipata uhuru lakini ukombozi bado na ukombozi tutaupata kupitia vitu viwili yaani katiba Mpya ama Vita!!! Hiyo ndo imani yangu kwani sina imani tena na uchaguzi wa nchi hii baada ya uchaguzi wa 2010 kuchakachuliwa na ushindi kupewa Rais kikwete ambaye mpaka leo ameshindwa kujenga...
  14. M

    Walioangalia taarifa ya habari ya Star tv wameona ukweli wa hali ya Kigoma ilivyokuwa jana

    Tatizo letu sisi watanzania ni kusahau tunakotoka na ndio maana hatujui tunakoenda! Tungekuwa tunajua tunakotoka huyo msaliti Zitto sio wa kuwazia wala kusumbua akili zetu kwani anachokifanya na anavyotumiwa na CCM hakuna tofauti na aliyoyafanya Dr. Masumbuko Lamwai.....na leo hii yuko wapi...
  15. M

    Haya ndio mafanikio ya CHADEMA toka 1992. What a shame!?

    Nilikuwa najiuliza sana mantiki ya serikali kuanzisha Divisheni five na niliumia sana hilo wazo lilipotangazwa kwenye vyombo vya habari na nikajiuliza mara kadha, 'hii serikali yetu inatupeleka wapi?' Leo mawazo yangu yamekwisha kwani kwa thread hii ya Hamy D nimeamini kuwa ni muhimu kuwa na...
Back
Top Bottom