Recent content by Muk

  1. Muk

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yang'ara Morogoro

    hongera zao sana na hiyo ndo demokrasia
  2. Muk

    JamiiForums Tanzania Wasomi waponda hotuba ya Magufuli Dodoma

    Wasomi wa bongo bwana ni mishangao wenyewe kila kitu wanapinga tu. mmmh kweli kazi ipo.
  3. Muk

    JamiiForums Tanzania Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

    Acha unafiki wewe. Kwani kushindwa kessi ndo mwisho wa kufanya kazi?
  4. Muk

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kufanya kongamano kesho, kupinga ubaguzi wa rangi

    Nendeni nyie wenyewe maana nyie ndo wapenda maandamano
  5. Muk

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa Meya Ilala: CCM wasusa na kutoka nje, wapata kura 0 na UKAWA 31

    Kwani dodoma nako ni kijiji na mwanza je?
  6. Muk

    JamiiForums Tanzania Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

    Bora aisee tupumue maana hao jamaa ni waongooo
  7. Muk

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Economist lamwagia sifa Magufuli

    Huyo ndo Magufuli kimataifa
  8. Muk

    JamiiForums Tanzania Natangaza rasmi kuendelea kupambana na Lowassa kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2020

    Kila kheri kiongizi jasili
  9. Muk

    JamiiForums Tanzania Kuwa na ganzi na kusikia miguu na mikono kuwa ya moto

    asante kwa ushauri ako rafiki. ila unikumbuke kwenye sala zako
  10. Muk

    JamiiForums Tanzania Kuwa na ganzi na kusikia miguu na mikono kuwa ya moto

    Habari wa JF, Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 32. nina tatizo la miguu na mikono kuwa ya moto na pia kuwa na ganzi ni tatizo ambalo limeanza kama wiki 4 zilizopita saa nyingine hata nikivua nguwa huwa najihisi kama sijavua ngu nahisi kama ninazo mwilini. Nimekwenda hospitali moja hapa Dar...
  11. Muk

    JamiiForums Tanzania CHADEMA is no longer 'Peoples Power'

    umenena hapo. ila wataipenda 0ct 25. hapa ni kazi tuuuu
  12. Muk

    JamiiForums Tanzania Kilichojiri kwenye Uzinduzi wa Mtambo wa Umeme wa Gesi, Kinyerezi Dar es Salaam

    tupia picha kiongozi
  13. Muk

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    jionee huruma wewe mwenyewe maan ahuyo atashinda tu
  14. Muk

    JamiiForums Tanzania Yussuf Manji: Kingunge ni mnafiki, alilikata jina lake uchaguzi 2005!

    huyo mzee kingunge ni mnafiki kweli kabisa. afu anasema haende kwenye chama chochote na hali yupo na lowassa muda wote. na wanafiki wote huwa wanafeli
Back
Top Bottom