Ni Magufuli kwa maendeleo ya vijana.
Ni magufuli kwa maendeleo ya tanzania ya sasa na baadae
Ni Magufuli kwa maendeleo ya vijana.
Jionee huruma mwenyewe. Magufuli Rais wako.
Ccm ni laana
jionee huruma wewe mwenyewe maan ahuyo atashinda tuNamuonea sana Magufuli katika kampeni zake, naona anatumia nguvu nyingi sana tofauti na Lowassa lakini watu hawamuelewi hata kidogo, ungewauliza wenzako waliopita wamewafanyia nini watanzania mpaka wanachukiwa kiasi hiki nadhani wangekwambia, lakini hata wewe mwenyewe ni shahidi juu ya haya, siku za mwanzo kwenye kampeni zako ulikuwa unasema "nashangaa hospitali hazina dawa ila maduka binafsi yanauza dawa"
usijisumbue sana kupiga kelele majukwaani, nadhani ccm wenzako wanaelewa nani anaenda kuwa raisi wa tano wa Tanzania.
youngsharo
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us