Recent content by Muhukurulilahi

  1. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aiseeh! Usiku wakuamkia leo nimebugi sana

    Ajali kazini
  2. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilivyolala na mke wa mtu baada ya kukutana safarini

    Bangi mbaya nyie.....dah
  3. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Kiiraq amenihonga Vitz siamini

    Duh bonge la ndoto, ila kuota kwingine matatizo
  4. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

    Ujumbe mujarabu kabisa, huo ndio ukweli wenyewe.
  5. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke nimfanyeje?

    Jambo la msingi hapo ni kutangaza ndoa tu mkuu
  6. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, watu waliopo kwenye mahusiano wanaweza kukaa muda gani bila kufanya mapenzi?

    Wakae miezi sita bila sex ili iweje? Labda kama kuna sababu za msingi
  7. Muhukurulilahi

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tumehamia Dodoma moja kwa moja

    Thubutuuu
  8. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ambayo Udambwidambwi mwingi (Romance ) uliniponza kabla ya. Ushauri wangu Wanaume tusirembe sana

    Duh kumbe haya nayo hutokea
  9. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke nimfanyeje?

    Mpe muda wa kutosha wala usionyeshe kuwa hukupenda alichokifanya, yaelekea ana malengo mazuri na wewe. Kukimbilia kuomba mzigo na kulazimisha upewe yaonekana wewe ni mbinafsi. Msemo huu ni muhimu kuuzingatia, mvumilivu hula mbivu
  10. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rasmi sasa nipo ndani ya chama la wana, naombeni mnishike mkono, nionesheni njia

    Chama la wana linahitaji bekima ya hali ya juu ili kudumu humo, kinyume cha hapo unafutwa uanachama baada ya muda mfupi. Tunakutakia kila la kheri Mwenyezi Mungu mwingi wa rhma awe pamoja nawe.
  11. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sex ipo overrated, wanawake tumekuwa cheap sana

    Papuchi ndo rasilimali pekee waliyonayo wanayoweza kuitumia kupata mpunga kwa ulaini, na kwa kuwa wanaume ni watumwa wa papuchi huo ni mtego maridhawa kwa wanawake.
  12. Muhukurulilahi

    JamiiForums Tanzania Kwa hotuba za jana kwenye uzinduzi wa kitabu, tuna viongozi waliopotoka?

    Kwa kawaida wakiwa madarakani ni kuonyesha umwamba tu, wakitoka wanatafuta kuhurumiwa
  13. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu binti ananitega au vipi ushauri wenu jamani

    Brother jiepushe na jambo unalotaka kulitenda, ni jambo baya kabisa, huyo ni mke wa kaka yako matuguku kumgusa.
  14. Muhukurulilahi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada mtatuacha na boxer tu

    Mkuu kwa kuanza kutoa pesa hizo buku tano, hakika wewe ni mnyonge hapo unajifariji lakini ukweli ndo huo
Back
Top Bottom