vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,232
Labda akupende mwenyewe otherwise lazima utoe kwanza bila ya hivyo utaishia kuwapata Mwajuma nchokonoe tu wa kumpa buku mbili ya nazi na matembere.Hupati kitu hapo
Mistake mnayofanya mnaanza mbwembwe Sana Ndiyo maana mnaombwa pesa
Kuwa simple akiomba pesa hata buku mbili Mwambie Sina Leo
Ila nikipata ntakupa
Daah yan mngekua mmesoma saikiloji kidg tuu ya hawa viumbe msingepata tabu
Kwa taarifa yenu Mwanamke Kama unataka akupende yaan ule upendo wa real
Usimpe pesa siku za mwanzo kwenye Uhusiano
Ila Kama ni chapa ilale toa tuu hizo chapaaa