Wadada mtatuacha na boxer tu

Wadada mtatuacha na boxer tu

Hupati kitu hapo
Mistake mnayofanya mnaanza mbwembwe Sana Ndiyo maana mnaombwa pesa

Kuwa simple akiomba pesa hata buku mbili Mwambie Sina Leo

Ila nikipata ntakupa

Daah yan mngekua mmesoma saikiloji kidg tuu ya hawa viumbe msingepata tabu

Kwa taarifa yenu Mwanamke Kama unataka akupende yaan ule upendo wa real

Usimpe pesa siku za mwanzo kwenye Uhusiano

Ila Kama ni chapa ilale toa tuu hizo chapaaa
Labda akupende mwenyewe otherwise lazima utoe kwanza bila ya hivyo utaishia kuwapata Mwajuma nchokonoe tu wa kumpa buku mbili ya nazi na matembere.
 
Kula urefu wa kamba yako, mwanamke wa elfu kumi Umekuja kuanzisha thread.... Akiomba laki si utaenda kushitaki mahakama ya kimataifa ???

Tafuta size yako,,, chukua wa buku mbili basi hao wengine waachie wasiopenda kulalamika
 
Kula urefu wa kamba yako, mwanamke wa elfu kumi Umekuja kuanzisha thread.... Akiomba laki si utaenda kushitaki mahakama ya kimataifa ???

Tafuta size yako,,, chukua wa buku mbili basi hao wengine waachie wasiopenda kulalamika
Elfu kumi mmhh na masihara wew
 
Kuna K kibao mbona Tena free tu...mnaohonga mnakwama wapi hv....mm natoa nauli ya kurud tu
 
Tafuta size yako.... Kuna watu wanatoa hamsini ya vocha kabla hajaomba namba hapo, akishaomba mikogo mingine inaendelea na hukuti wanalialia
Elfu kumi mmhh na masihara wew
 
Tafuta size yako.... Kuna watu wanatoa hamsini ya vocha kabla hajaomba namba hapo, akishaomba mikogo mingine inaendelea na hukuti wanalialia
Na wengi wao ndo hao wanauana
 
USIZINI na usimpe hela zako maana we si baba yake ama mama yake
 
Mkuu kwa kuanza kutoa pesa hizo buku tano, hakika wewe ni mnyonge hapo unajifariji lakini ukweli ndo huo
 
Kula urefu wa kamba yako, mwanamke wa elfu kumi Umekuja kuanzisha thread.... Akiomba laki si utaenda kushitaki mahakama ya kimataifa ???

Tafuta size yako,,, chukua wa buku mbili basi hao wengine waachie wasiopenda kulalamika
Wewe wa shilingi ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom