Ukikubali kuwa nae tena basi hakukuumiza huyo,lakini Kama kweli alikutenda basi kuwa na msimamo thabiti tafuta mwingine lasivyo atarudia yaleyale akipata mwingine tena
Kweli haya makanisa hasa ya kilokole yanafujo Sana hawamwabudu mungu ila ni disco kwa Sana, halafu siyo kwa ajili ya ibada ni biashara za watu kwa sasa maana mtu anamwambia mwenzie ukitaka urahisi wa maisha jenga kanisa, hata Mimi naunga mkono serikali kuyafungia haya makanisa binafsi toka lini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.