Moja ya mambo ya hovyo yanayofanywa na taasisi ya Bi Kijo ni hiyo! Viongozi wa Kisiasa wanatoa matamko haram tena yenye kuhatarisha amani wao wapo kimyaaa kama hawapo vile wala hawapo tayari kuyazuia matamshi hayo lakini uvunjifu wa amani unapojitokeza tena uliosababishwa na kundi la watu...
Mmeandamana bila kibali! Mmevunja sheria! Jamhuri iliwatangazia kuwa mkusanyiko wenu si halali hivyo mnaagizwa msambae LA sivyo nguvu itatumika! Mkakaidi amri halali! You are In!
Pole Sana!
Anza kwa kubadili life style, badili marafiki japo vigumu, jiunge na club za mazoezi, jilazimishe kupenda sana kuwa home mapema muda unapomaliza majukumu ya kutafuta kipato yaani baada ya kutoka kibaruani utapata tabu siku za mwanzo baadae utazoea! Hii kitu ilinitesa sana kwa kipindi...
Kwa kuwa umeulizia kujua yuko wapi acha nikusaidie kidogo!
Ametoka Macca(Wiki chache zilizopita)alikwenda Hija yeye na familia yake! Ana kampuni kadhaa na ni shareholder wa kampuni mbili kubwa za Kimataifa moja ina Makao Makuu SA. Ana tenda nono ya mradi mkubwa sana ! Kwa tunao fahamu muda mrefu...
Kwa nguvu za ajabu za kitendaji alizonazo JPM lazima mbabaike sana! Wananchi wamemuelewa na kumkubali JPM! Siha na Kinondoni zinarudi CCM!
Take my word Brother
Naam! Nimefarijika sana na Post hii
Binafsi ni miongoni mwa Vijana wachache ambao siamini lolote wala chochote kupitia bahati nasibu/Kamari. Ni kweli vijana wengi /watu wazima siku hizi ndio sehemu ya maisha yao, Nina rafiki ambae hurudi nyumbani kila siku kuanzia SAA saba usiku hadi nane kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.