Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,562
- 15,906
Nashangazwa sana na huu mtindo wa CCM kuhamisha madiwani wa vyama vya upinzani kwa matarajio kwamba wanaua upinzani. Nataka niwashauri jambo dogo sana ni sawa kwa namna moja au nyingine wanaweza kudhani kuwa wanauwa upinzani ( kwa akili za kisisiemu).
Lakini upinzani utakaozaliwa utakuwa mbaya zaidi ya huu uliopo. kwa maana nyingine ni kwamba kutakuwa na upinzani wa ndani kwa ndani ambao upo kwenye mfumo uliopo madarakani.upinzani huu ni hatari zaidi ya Chadema.
Otherwise itumike nguvu ya ziada kuuzima kitu ambacho sina uhakika kama kitafanikiwa kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana na kuitumbukiza nchi katika majanga mazito.
Kwahiyo labda tu ni niwashauri CCM kucheza kwa step maana hali ya sasa ni tofauti na miaka ya nyuma hivi sasa watanzani wengi wameamka na wanajua mambo yanavyokwenda.
Lakini upinzani utakaozaliwa utakuwa mbaya zaidi ya huu uliopo. kwa maana nyingine ni kwamba kutakuwa na upinzani wa ndani kwa ndani ambao upo kwenye mfumo uliopo madarakani.upinzani huu ni hatari zaidi ya Chadema.
Otherwise itumike nguvu ya ziada kuuzima kitu ambacho sina uhakika kama kitafanikiwa kwa sababu madhara yake yanaweza kuwa makubwa sana na kuitumbukiza nchi katika majanga mazito.
Kwahiyo labda tu ni niwashauri CCM kucheza kwa step maana hali ya sasa ni tofauti na miaka ya nyuma hivi sasa watanzani wengi wameamka na wanajua mambo yanavyokwenda.