GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,518
- 108,793
- Thread starter
- #81
Kama unamuheshimu huyu bwege basi na mimi heshima yangu kwako nitaitoa. Huyu nilimuweka ignore list kitambo sana. Utoto mwingi akidhani anapamba kumbe anajibamba
Hivi Mtu unayemuweka katika Ignore List bado unaweza tena kupoteza muda wako Kumfuatilia au Kuzifuatilia threads na posts zake?