Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Nataka kuoa, lakini yanaweza yakatokea ya kutokea hivi utaratibu wa kuvunja ndoa upoje?
Mliovunja ndoa zenu naombeni uzoefu wenu..
Mliovunja ndoa zenu naombeni uzoefu wenu..
hapo ni mpaka mmoja atangulie mbele ya hakiNataka kuoa, lakini yanaweza yakatokea ya kutokea hivi utaratibu wa kuvunja ndoa upoje?
Mliovunja ndoa zenu naombeni uzoefu wenu..
Hapo kwenye kingereza umeniacha,naomba kwa kiswahili hiyo non denominational umeniacha kolomijeKafunge ndoa kwenye kanisa lililo non-denominational.
Makes the process of undoing ‘I do’ much more painless.
Kwa kuwa hujaoa bado na unajiandaa kuoa huku ukiwa na mawazo ya kuacha njia nyepesi ya kuacha mke kwa ndoa ya kikristo ni kutokuoa kabisa
Kujiandaa muhimuHujaoa unataka kujua mbinu za ku Ctrl+Z ndoa. Sasa kuna haja gani ya kuoa?
Hata nikimfumania ametoka nje ya ndoahapo ni mpaka mmoja atangulie mbele ya haki
Hapo kwenye kingereza umeniacha,naomba kwa kiswahili hiyo non denominational umeniacha kolomije
Unajiandaa kwa mabaya ndani ya ndoa? Kwanini usimuombe Mungu akujalie amani na upendo ndoani kisha mengine umwachie yeye?Kujiandaa muhimu
Lazima uwe na plan kwamba mambo yakienda kombo ujue uanafanyaje mapemaUnajiandaa kwa mabaya ndani ya ndoa? Kwanini usimuombe Mungu akujalie amani na upendo ndoani kisha mengine umwachie yeye?
Ukimfumania uso kwa macho anaziniwa wala haihitaji muda wa kuvunja hiyo ndoa bali atakuwa amejiachisha mwenyewe.Hata nikimfumania ametoka nje ya ndoa