Recent content by muhimbili

  1. M

    Uzinduzi wa noti mpya BoT 2010

    Nasikitika sana noti tunazotumia kwa sasa zina signature ya marehemu Balali ambaye alikuwa fisadi na pia ina signature ya fisadi mwingine aliye hai aitwaye Mramba.Hii ni haki? Hata maandiko yalisema chapa hii iliyoko kwenye sarafu ni ya nani?wakasema ni Kaisari. kwa hiyo hizi noti ni za Mramba...
  2. M

    DOWANS yaibwaga TANESCO; TZ kulipa gharama na adhabu Bil. 185!

    RA strategies. Richmond ilikuwa feki na ikauzwa kifeki.Yote yalifanyika baada ya uchaguzi wa 2005 na sasa ni baada ya uchaguzi 2010.Yele yale kurudisha hela tulizotumia kwenye uchaguzi kuhonga Waliosimamia kamati ya kuchunguza wako wapi sasa ili waongee?ushahidi walisema wanao.Je watautoa...
  3. M

    CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!

    Big up Dr Dr amejibu vizuri jamani.Watu ni vichwa.Sisi tumekaa tu tunafikiri viongozi wetu hawaoni mambo kumbe wako mbele sana kisayansi. Yusuf makamba angeweza kutoa majibu hayo?si angeongea utumbo mtupu
  4. M

    Jamani kumbe wabunge wetu umombo...Mmmmm

    Kweli aibu kubwa sana imeonyeshwa pale bungeni tukianza na speaker. Watu sio wadadisi na hawajiandai kwa interview. Na jamani haya mambo ya wabunge kupitisha issue kwa kutamka jumla naona ni uhuni tu jamani. Inabidi tuende kisayansi.Hii imetoka wapi?
  5. M

    Ni kweli Anna Makinda ni 'Mbabe'?

    Huyu mama ametumwa kazi moja tu y kutoruhusu wana CHADEMA kuwa na sauti. Ninachomsikiyikia ni kuwa vijana wa CHADEMA wako mahiri na sheria wanaijua watamtesa sana. naona anajaribu kutumia kanuni kuzima kanuni. Nashukuru MUNGU watu tunaona haya mambo kila mahali.Mpinzani wa kweli anajulikana...
  6. M

    Kwanini Kikwete Hakuwa na Furaha kwenye Kuapishwa?

    Jamani alikuwa anaogopa kuanguka.Si mnajua ni mgonjwa? Angeanguka huku amazungukwa na wageni mbalimbali wa nje na ndani.Najua muda mwingi kwa sasa atakuwa anatumia kwa matibabu.Safari za ng,ambo zatakuwa ni nyingi sana
  7. M

    Safari ya Andrew Chenge kuwania Uspika wa JMT

    Mungu ibariki nchi hii. Tuliona mengi na mengi tutayaona. Kama kura za maoniwalichakachua,kura za watanzania wakachakachua,JK akamnyanyua na kusema ni mtu safi.Unategemea kuwa Chenge atakosa kupata uspika? Kitendo cha kumpa nafasi ya kugombea ubunge ni kudhalilisha na kudharau watanzania.Kati...
  8. M

    GE2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

    Kama Ubungo wamekubali kuhesabu upya tukubali tumeliwa.Hakuna sheria inayoruhusu hicho kitu.Wamekubalije? Angalia Kigoma mjini wamerudia kuhesabu tukaliwa. Kura za kurudia zimeshachakachuliwa
  9. M

    GE2010 Hali halisi kabla ya kutangazwa matokeo majimbo ya Dar

    Ninashindwa kuelewa kujumlisha matokeo ya Ubungo wakati vituo vyote wana figure zake.Kama calculator hawana wanaweza kutumia hata simu za mkononi. Kweli jamani kama si kuchezea amani tangu asubuhi hawajaweza kujumlisha yote na kutangaza?
  10. M

    GE2010 CONFIRMED: Lema atangazwa rasmi kuwa mbunge wa Arusha mjini

    Ni kweli jamani Lema katangazwa kuwa mbunge wa Arusha mjini.ITV na TBC wametangaza.Haina shaka kabisandugu zanguni Kata 10 CCM na kata 8 CHADEMA
  11. M

    GE2010 Makarani wa kuchapa matokeo wachukuliwa

    Makarani wa kuchapa matokeo ya jumla yakiwa yameshakusanywa wamechukuliwa na kupelekwa makao makuu ya Mkoa. Taarifa hii imetoka kwa Mtanzania mwenzetu akiwa Manyara ambapo ameniambia kuwa hawa makarani wamechukuliwa leo kwenda mkoani ambapo haijulikani wanaenda kufanya nini.Then watarudishwa...
  12. M

    GE2010 NEC: Uchaguzi umeahirishwa majimbo yafuatayo...

    Nimetoka kupiga kura pale UDSM utawala.Hali ni shwari ila kilichonisikitisha ni kutokuwepo wakala wa CHADEMA kwenye kituo namba 5 ambacho nimepigia mimi.Wapo wa CUF na CCM tu.:A S angry: This is very dangerous. Nikiwa njiani kuelekea hapo kituoni maana nakaa KImara nilikutana na foleni ya...
  13. M

    GE2010 Hali halisi vituoni siku ya kupiga kura

    tatizo mawakala ninaowaona vituoni noma tupu.Sina imani kama ni wateule wa chama chetu jamani.Isijekuwa tume imezunguka ikaweka mamluki wao ili wizi ufanikiwe
  14. M

    GE2010 Ripoti hii si ya kupuuza hasa kutoka kwa shuhuda......isome!!!!

    Hata huku vituoni kwa kupigia kura wanaonekana mawakal wachovu na sehemu nyingine hakuna wakala
  15. M

    Maji shingoni mitandao - simu toka kwa kikwete

    Hiyo ya kuongeleshwa kwa simu ni cha mtoto. Tunaokaa Mbezi -Kimara yumepata sms kwa mtandao wa voda com yenye jina HAWA ikiwa na msg nichague niwe mbunge wako kwa maendeleo ya ubungo. Kwnye phonebook hakuna namba yake wala jina.Amepataje namba yangu? wameingilia mpaka mtandao
Back
Top Bottom