Makarani wa kuchapa matokeo ya jumla yakiwa yameshakusanywa wamechukuliwa na kupelekwa makao makuu ya Mkoa.
Taarifa hii imetoka kwa Mtanzania mwenzetu akiwa Manyara ambapo ameniambia kuwa hawa makarani wamechukuliwa leo kwenda mkoani ambapo haijulikani wanaenda kufanya nini.Then watarudishwa saa 8.Sijui maeneo mengine ya Tanzania kama haya mambo yametokea.
Mtoa taarifa ni mfanyakazi wa serikali mkoani Manyara na hili jambo limemsikitisha sana,as kwa nini ifanyike leo na sio siku nyingine zilizopita?It seems kina kitu kinapangwa kufanyika katika ku sum up matokeo,
Taarifa hii imetoka kwa Mtanzania mwenzetu akiwa Manyara ambapo ameniambia kuwa hawa makarani wamechukuliwa leo kwenda mkoani ambapo haijulikani wanaenda kufanya nini.Then watarudishwa saa 8.Sijui maeneo mengine ya Tanzania kama haya mambo yametokea.
Mtoa taarifa ni mfanyakazi wa serikali mkoani Manyara na hili jambo limemsikitisha sana,as kwa nini ifanyike leo na sio siku nyingine zilizopita?It seems kina kitu kinapangwa kufanyika katika ku sum up matokeo,