Wazo zuriii bro but serikali Za mitaaa..majanga.
1.pesa mbele
2.professional hawana.
3. Haki na makosa watavuruga tyuu.. maana madudu tunayaona mtaani hatariii
Kaaaaaaaaaah yani it means that...hatujawahi pata kiongozi mzalendo kwa taifa hili...kwani tokea mwanzo hatukujenga...so ngum anza jenga mwishoni...
Note.... tawala zetu zijitambue kwani hatupendi wananchi na co fair kabisa......against it....cammon...
Teh teh teh teh the.....acha nifurahi tu..
But naamini tanzania chama tawala na upinzani...wote siwaamini hata kidogo...kwani uzalendo,uadilifu na kutenda haki ni propaganda za mdomoni..but nothing.....na cjaona may be ALLAH...atende muujiza. Sources ya yote ni mifumo ya nchi yetu.hako...
Mkuu ..ushauri wangu usiache kazi befofe hujapata mwelekeo au vyanzo vya uhakika kukingiza kipato....tumia mali na akili yako ...vizuri ili ujenge powerful resources...4 income. Then ruksa acha kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.