Paulo mtume, ameelezea hatari za hao Manabii wa uongo kabisa. Nijuwavyo mimi, Yesu hakuja duniani kuleta uponyaji, wala miujiza;. Hivyo vyote vilishakuwepo tangu enzi za akina Nabii Eliya.
Sidhani kama umeelewa alichomaanisha mwananzengo. Anapotaja ngome, anazungumzia eneo maalum lenye nguvu kubwa Kinzani na yenye mizizi iliyo hai. Kama Waitara alikuwaamesha sambaratisha ngome ya CDM, kulikuwa na haja gani ya jeshi la POLISI kuvamia kambi ya Heche na kuharibu mpaka vyombo vya PA????
Kusema kweli, kila mtu anazo hisia za kumuongoza . Mimi niliumizwa na suala la watoto wale waliopelekwa UDOM kuchukua kozi maalum ili wakasaidie uboreshaji wa masomo ya SAYANSI kwenye shule zetu za kata. Wale watoto hata kama hawakustahil ikama tulivyo danganywa,bado walipoaswa kupoewa muda wa...
Habari zenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc.
Naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.