Ni nani anayempenda kama serikali yake ilimpiga risasi,siku utakapopigwa wewe hata mkononi tu utajua madhara ya udikteta.Kwenye kumbukumbu yako ni nani aliyekuwa mwizi wa Mali za umma kama si wanaccm ? Mnafiki mkubwa wewe kipindi cha JK mlisema hakuna kama Yeye leo unasema Jpm aongoze milele...
Wanaoshabikia upuuzi huu wa Mollel naomba Mungu kati yao wajeruhiwe kwa risasi hata kwenye kidole kama wataipenda hii nchi yenye udharimu mkubwa.Nashukuru Mungu hakuna ambaye hajawahi kupata madhara na serilikali hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.