Ndugu zangu habari zenu??. Nahitaji kufahamu kuhusu Hii ishu ya MAFUTA ya kupikia. Maana imekuwa mtihani Sana. Wenzang munanunua Tsh. Ngapi kwa dumu na ltre???
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wafanyabiashara humu kama mpo.
Naomba kujua kuhusu bei ya mafuta ya kupikia yani bei imekuwa juu sana inafkia hatua dumu la ltr 20 linauzwa sh 56500/= je wenzangu munanunuaje kwa dumu au ltre
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jengo la wizara ya maji limebomolewa jengo la tanesco nalo ubale mzima halkadhaika pia watakuwacha wwe mwenye vitenki vyako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao hawalalamikiii uvunjwaji wa eneo la kuuzia mafuta. Kwakuwa wengi wao niwafanyakazi tu walio ajiriwa wanacholilia nikwamba watakosa marupurupu ya parking za malory usiku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ita depend na uelekeo wko. Kama unatoka town unakuja mlandizi. Weka wese la maana ikiwezekana tembea na reserve tank ama kidumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhhhhh
Kipindi kile sh. 500/= ilikuwa ikiitwa Jero
Leken asa hv jina linatajwa kiufasaha hata kibogoyo hakosei MIA TANOO!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.