Tulikuwa tumepiga hatua kubwa katika haki ya kupata habari na uwazi wa bunge, lakini sasa tumeamua kurudi nyuma na wengine wanashangilia jambo hili. Tutajuaje kama wapinzani kazi yao ni kufanya fujo tu bungeni kama hatuwaoni? Serikali inaogopa kupata ushahidi wa wafanya vurugu? Sasa nahisi...
Kweli watu tunatofautiana! Yaani hutaki kujua kinachojadiliwa na wawakilishi wako? Hata serikali yako hutaki kujua ina mipango gani kwa nchi yako? Wabunge wanaosinzia na watoro tunawaona kwenye kioo. Gharama haikwepeki kwa jambo zuri.
Hivi kweli unaamini sababu ya kutoonesha moja kwa moja bunge kwa baadhi ya mijadala ni kubana matumizi? Si ajabu wakapunguza hata siku za bunge ili kubana matumizi. Serikali ningeielewa kama wangefuta posho za kukaa za wabunge kwanza lakini watuachie tuone wawakilishi wetu wanafanya nini. Kuuza...
Uhuru wa kupata habari ni haki ya msingi siyo fadhila. Kama wewe hupendi kuona isiwe sababu ya kumnyima haki hiyo yule anayeihitaji. Tutajuaje kama bunge ni dhaifu au imara kama hatuoni? Kipindi kilichorekodiwa kitakuwa kimehaririwa na mhariri ataonesha kile anachotaka yeye tukione. Tutamkumbuka...
Unashindwa kutofautisha milioni, bilioni na Trilioni halafu unataka sisi tutumie akili kidogo tu, acha dharau. Makusanyo ya TRA, ni bilioni 800 na si milioni 800 kama unavyosema wewe.
Kumbuka kua = Kumbuka kuwa
Kodi isipokuwa halisi hailipiki na hivyo kufanya watu kujitahidi kukwepa lakini pia kodi isiyolipika ni mtaji wa rushwa kwa watoza kodi.
Kukubali kukosea si vibaya japo kosa la Dr. Slaa naliona dogo lakini lipo. Kwa msimamo wake toka mwanzo ni kuwa hakumkubali Lowassa kuwa anafaa kugombea kupitia CHADEMA, hakutakiwa kukubali kumpeleka kwa Mbowe. Angemwacha Mbowe ndo apelekewe mtu wake na Gwajima. Hivyo Slaa amekuwa mwezeshaji kwa...
Hilo jambazi lililokumbatiwa na CDM, hata serikali ya 'Hapa kazi tu' inashindwa kulikamata? Huyu mtu adhabu yake ni kuzomewa tu? Tunataka akamatwe afikishwe kwenye vyombo vya sheria vinginevyo acheni kelele mnatutia hasira kuwa tunaibiwa, na wezi mnawaona(kama mnavyodai) lakini hamchukui hatua -...
Huna haja ya kulaumu wazungu, Katiba za kuweka ukomo wa uongozi tunatunga wenyewe. Tatizo baada ya kutunga, viongozi walewale waliotunga, muda ukikaribia kwisha wanaanza kushawishi kubadili Katiba ili kuondoa ukomo wa Uongozi. Hatuna uwezo wa kuheshimu Katiba zetu. Marekani wana ukomo na nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.