Goodrich
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 2,091
- 1,177
Binafsi huwa siamini katika ukomo wa muda wa uongozi.
Mimi nadhani kama kiongozi ni mbovu au dhaifu hapaswi au sio lazima kukaa miaka 5 au 10 madarakani, eti amalize muda wake.
Na kama kiongozi ni mzuri, jasiri, mzalendo, mwenye kuipenda nchi yake, na kupendwa na wananchi sio lazima aondoke baada ya miaka 10, eti muda wake umeisha.
Na mbaya zaidi dhana hii hutumiwa na mataifa makubwa kwa Afrika tu, na sio Ulaya, wala Uchina.
Nadhani jambo la muhimu ni kuwa na mfumo thabiti na huru wa uchaguzi na wa kuwajibisha viongozi.
Ukomo wa uongozi kwa Afrika unalinda viongozi wabovu, na wakati huohuo kuondoa viongozi wazuri kwa kigezo cha muda.
Sio kila tunachoambiwa na wazungu ni sahihi.
Mimi nadhani kama kiongozi ni mbovu au dhaifu hapaswi au sio lazima kukaa miaka 5 au 10 madarakani, eti amalize muda wake.
Na kama kiongozi ni mzuri, jasiri, mzalendo, mwenye kuipenda nchi yake, na kupendwa na wananchi sio lazima aondoke baada ya miaka 10, eti muda wake umeisha.
Na mbaya zaidi dhana hii hutumiwa na mataifa makubwa kwa Afrika tu, na sio Ulaya, wala Uchina.
Nadhani jambo la muhimu ni kuwa na mfumo thabiti na huru wa uchaguzi na wa kuwajibisha viongozi.
Ukomo wa uongozi kwa Afrika unalinda viongozi wabovu, na wakati huohuo kuondoa viongozi wazuri kwa kigezo cha muda.
Sio kila tunachoambiwa na wazungu ni sahihi.