Recent content by mugesela

  1. M

    Anaweza kupata selection kwenye shule ya vipaji maalum?

    Hata mm nahisi hivo. Hata mwaka huu nimefuatilia shule nyingi Physics A chache mnooo hata B sio nyingi
  2. M

    Anaweza kupata selection kwenye shule ya vipaji maalum?

    Ahsante sana mkuu kwa kushare hii ngoja tusubiri tuone
  3. M

    Anaweza kupata selection kwenye shule ya vipaji maalum?

    Mdogo wangu amepata Div.I ya 7. Kwenye masomo anayotaka kusoma Advance ana Physics C, Chemistry A na Maths A (PCM). nimeangalia ufaulu wa Physics kwa shule nyingi hata za vipaji A za physics ni chache mno. Je, anaweza kupata shule za vipaji maalum?
  4. M

    Natafuta mtaalam wa SPSS

    Habarini wakuu, natafuta mtaalam/consultant wa SPSS kwa Dar. NOTE: ni deal la kufundisha watu Ahsanteni
  5. M

    Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

    Kwenye aviation kuna kitu kinaitwa BASA (Bilateral Air Service Agreement) zinazoingia nchi na nchi, kwenye BASA kuna kipengele kinaitwa reciprocal kwamba kinachofanyika upande mmoja wa mkataba ndo hicho hicho kifanyike upande mwingine Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
  6. M

    Tanzania Civil Aviation Authority, (TCAA) Vacant Positions

    Mzee vp uliitwa ile ya kwanza? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Interview TCAA

    Post ipi ulioreport kazini
Back
Top Bottom