JUKWAA LA MAENDELEO TANZANIA (NATIONAL DEVELOPMENT FORUM)
Tamko la Kumpongeza Rais kwa utendaji kazi wake.
Ndugu wanahabari awali ya yote nawasalimu!!
Ndugu wanahabari, Leo hii tumejitokeza tena mbele yenu tukiwa na lengo la kutoa maoni yetu sisi kama Jukwaa Huru la Wazalendo Tanzania...
*MKURUGENZI MALINYI ATOA AJIRA KWA WAHITIMU ZAIDI YA 35 WA VYUO VIKUU KUPITIA KILIMO*
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya MALINYI ndugu Marcelin Raphael Ndimbwa ametekeleza ahadi yake na kuunga mkono maagizo ya serikali kuondoa umasikini haswa kwa vijana kwa kutoa ajira kwa vijana kupitia...
Wananchi wa halmashauri ya Malinyi wameendelea kujiunga kwenye vikundi vya watu 150 ikiwa ni sehemu ya kuitikia wito wa Mkuu wa wilaya hiyo uliowata kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupatiwa huduma za ugani na mbegu za mpunga bure.
Pia mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi ndugu Ndimbwa...
Kundi la wanafunzi kutoka chuo cha SUA wamekutana na mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi, vijana hao wamejitolea kutoa huduma za ugani na utalaam wa kilimo kwa Wakulima ndani ya wilaya ya Malinyi ni baada ya kufurahishwa na kazi za uongozi wa halmashauri hiyo.
Vijana hao wasomi...
Mkuu wa wilaya Majula kasika , mkurugenzi Marcelin Ndimbwa na Engineer, Maimuna makutika wa wilaya ya Malinyi wakutana na wahitimu wa vyuo vikuu Dar es Salaam Leo 13 .8.2016
Katika kuhakikisha vijana wanajiari kupitia kilimo, mkurugenzi na mkuu wa wilaya ya Malinyi iliyopo mkoani Morogoro...
Halmashauri ya wilaya ya Malinyi, chini ya mkurugenzi wake na mkuu wa wilaya hiyo wamedhamiria kuhakikisha wilaya yao inakuwa kitovu cha kilimo cha mpunga, tayari halmashauri hiyo imeanza kusimamia wakulima kwenye scheme iliyopo kata ya Itete wilayani humo.
Pia halmashauri imeweza kutoa mbegu...
Mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi, Mheshimiwa Ndimbwa (DED) akifanya ukaguzi wa mashamba ya wakulima yaliyopo kijiji cha Itete wilaya humo.
Halmashauri imeanza kutoa mbegu bure kwa wanakijiji na kuwalimia bure, lengo ni kuwawezesha wananchi na kuupiga vita umaskini kwa vitendo.
Mkurugenzi wa...
Hii ndio hali halisi ya Malinyi kwa DED Maselini R. Ndimbwa...
Hon Mwigulu Nchemba waziri wa zamani wa kilimo na umwagiliaji alituachia usemi ambao napenda nianze kwa kumnukuu....... "Kama mnataka mali mtaipata shambani
DED - Ndimbwa yeye tayari amewasili katika safari yake ya kuifuata Mali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.