Recent content by Mugaga

  1. M

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    Arsis Assalaam Alaykum. Binti yangu ana miaka 12 sasa ila tatizo la kujikojolea kitandani linamsumbua sana, tumejaribu hospital na tiba za asili bila mafanikio. Naomba muongozo wako. Shukrani.
  2. M

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Habari yako CPA OKW BOBAN SUNZU, vipi financial year hii vitabu vya Ki Aziz vinasomaje huko?
  3. M

    Nakula ila Sipati choo msaada jamani

    Hii ndio dawa ya uhakika. Mimi binafsi huwa nakunywa kahawa ile ya uswazi hapo hilo tatizo litakuwa historia Amforeal
  4. M

    Umebahatika kukanyaga ardhi za mikoa mingapi hapa Tanzania?

    1. Arusha 2. Manyara 3. Kilimanjaro 4. Mara 5. Simiyu 6. Shinyanga 7. Kigoma 8. Tabora 9. Katavi 10. Singida 11. Dodoma 12. Morogoro 13. Pwani 14. Dar es Salaam 15. Mwanza 16. Lindi 17. Mtwara 18. Kagera 19. Geita. Bado sijafika: 1. Njombe 2. Iringa 3. Tanga 4. Rukwa 5. Ruvuma 6. Mbeya Na mikoa...
  5. M

    Msaada: Naomba kujuzwa dawa ya kuua na kufukuza popo

    Umepiga fisher boards? Nilikuwa na hili tatizo ila niliamua kupiga Fisher boards likaisha lakini siku ya kupiga Fisher boards fundi alipanda juu kuwafukuza.
  6. M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Ahsante sana kaka. Shukrani
  7. M

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mwl.RCT natafuta product inaitwa "Similac Human Milk Fortifier", please assist.
  8. M

    Azania Sec. School Best Student (Mathematics) Award

    Mzee umefukua uzi wa 2013 ha ha ha [emoji23]. "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.
Back
Top Bottom